Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,881
- 2,761
Shidani ni wapi tena? Inaonekana ni kuzuri kama jina lake
It's just a matter of time
Aluta Continua....
one day yes!
Kama ipo ipo tu!
My dear hiyo misemo
mitatu for some reason inaendana
Mmmmhhhh au we waonaje mpendwa??
La hawla wala quwwata....ila billaahil-aliyyil-adhiim.
(hakuna ujanja wa aina yeyote...wala hakuna nguvu aina yeyote...kwenye jambo lolote...ispokua Mungu atake...alie juu ya kila kitu...na ni mkubwa kuliko kila kitu) hii tafsir ndio sahihi ya hayo maneno kwa ufafanuzi wake.