Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,131
- 49,536
Baba mwenyewe kilaza anategea apate angalau mwanamke asaidia kujaza vibonde.Lakini wewe baba yao si utawapunguzia..........?.....
Baba mwenyewe kilaza anategea apate angalau mwanamke asaidia kujaza vibonde.Lakini wewe baba yao si utawapunguzia..........?.....
nothing is tender than your sweet voice tiffah?....yaani latifa pamoja na sauti nzuri uliyonayo bado tu unajiita kilaza?...wewe siyo kilaza latifa your are a brilliant,just believe me!
Kila kiungo mwilini kina kazi yake..ubongo na papuchi haviwezi kuwa sawa
Hahahaaa ahsante
Mkuu ngoja nikwambie kitu..hawa wanawake waache hvyhvyo yani inawezekana hujamsoma vizuri
labda nikwambie tu kwamba kwa siku hizi ni bora ukaoa mwanamke design hiyo kuliko hawa unaowaona wasomi..asikwambie mtu mkuu yaani mara nyingi type hyo unaowaona vilaza ndio wanaoongoza kudumu ktk ndoa,
Kwanza hawana makuu,pili huwa wasikivu sana,tatu wanajua kulea watoto,nne ni wavumilivu sana yaani yeye hata ukimwambia mama leo mishe zangu zimegonga mwamba hvyo chemsha dagaa tule tulale..hana tabu atakwambia sawa mume wangu...pia vilevile hata ukimdanganya ni rahisi kukuamini.
Ila kama unataka kichwa kiwake moto na uvae mkanda "luksi" moja umeruka tafuta hao masista doo wa barabarani afu awe kaenda shule kdg ukitegemea "NITAMTULIZA TUU AKIWA NDANI"...yan UTATULIA WEWE mkuu..Sasa hv ukitaka ku'enjoy ndoa tafuta type hyo alieshindwa kusoma saa ya mshale..ukitaka hawa wa digital ambao kila mtandao ana akaunt utavaa chupi kichwani na maharage utayaita "maage"...takecare mkuu.
eeh ,ahsante kwa neno gani tamu nililokwambia tiffah?hilo la "sauti" au la "brilliant lady" just tell me.
Mimi mwenyewe nilikuwa namfagilia demu mmoja mkalii,siku moja nikiwa na dingi yake akawa anapita karibu, nikamuuliza utamchagua nani awe laisi akajibu lowsaaa! Baba yake Akanambia "hamna mke hapo kuna nyumbu"...nikasa duu kumbe kuna wanawaki vilaza
Wait tuanze na sauti:kwan ushawai skia sauti yangu mana umeisifia sa sijui umeiskia wapi???
mbona swali lako ni rahisi sana,kila ninaposoma neno hata moja uliloliandika,na imagine sauti yako ilivyo.una swali mpaka hapo?..au bado nimekuacha tiffah?
Wanaume wa umu wanakatabia ka ajabu: utakuta anammendea demu akishapata utamu analudi tena apa apa kuna kuyaanika wanaume wa ivi huwa wapo kwenye kundi gani????
yaani ukioa hili kilaza,watoto wataburuza mkia darasani mpaka basi
mimi nafikiri wapo kwenye kundi lao(just a joke),unaweza kutoa mfano hata mmoja wa mtu huyo latifa?au ni mimi?
Kwann umejiis kua ni ww rafik???baadh yao we haupo kabisa kwenye ilo kundi
poa basi "latifa",lakini natumaini siku moja utakua wangu tu,time will tell!
Hahahaaa
mbona unacheka?,kwani haiwezekani?...huwezi kuamini nimetokea kukukubali ghafla au ndiyo ile dawa uliyosema unayo?