Prakatatumba abaabaabaa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 1,465
- 4,678
Kama unataka Mali basi utaipata shambani, Mimi nimeamua kuunga juhudi nikashinde na kuteketea shambani huko labda tutatokea huko, nilichogundua biashara sio kwa ajili ya Kila mtu huko competition+uchawi ni mkubwa.
Mtaji wa kilimo kianzio kama million 5 upo, nataka nilime kwa kutegemea umwagiliaji na mbolea maana bongo hapa ulisema utegemee mvua ni kubahatisha tu, unaweza teketeza hata million 10 hivi hivi.
Niko Mwanza kwa Sasa, je mkoa gani Unafaa kwa kilimo Cha umwagiliaji? Nilifikiria niende SINGIDA nikalime vitunguu Lakini pote huko ni pakame sidhani kama Kuna bonde la maji.
Natanguliza shukrani.
Mtaji wa kilimo kianzio kama million 5 upo, nataka nilime kwa kutegemea umwagiliaji na mbolea maana bongo hapa ulisema utegemee mvua ni kubahatisha tu, unaweza teketeza hata million 10 hivi hivi.
Niko Mwanza kwa Sasa, je mkoa gani Unafaa kwa kilimo Cha umwagiliaji? Nilifikiria niende SINGIDA nikalime vitunguu Lakini pote huko ni pakame sidhani kama Kuna bonde la maji.
Natanguliza shukrani.