covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 4,904
- 10,699
Napenda kufahamu ethiopia wanategemea kitu gani kwenye kukuza uchumi wao pia ni sector gani kwao inayoongoza kuwaingizia pesa nyingi.
Swali kwa wachumi ni mbinu gani ambazo Ethiopia inatumia kukuza pato lake la Taifa (GDP) hadi wanaenda speed sana yaani miaka kama 3 au minne nyuma tulikuwa hatupo mbali nao ghafla sasa hivi wamepaa sana to 155.804, wakati sisi tumebaki kwenye 85.00 ni kwa nini inaonekana kuwa na mafanikio?
Je, ni kwa nini nchi zingine, kama vile yetu tanzania , tusiige njia hizo? maana sisi tunapanda taratibu!
Swali kwa wachumi ni mbinu gani ambazo Ethiopia inatumia kukuza pato lake la Taifa (GDP) hadi wanaenda speed sana yaani miaka kama 3 au minne nyuma tulikuwa hatupo mbali nao ghafla sasa hivi wamepaa sana to 155.804, wakati sisi tumebaki kwenye 85.00 ni kwa nini inaonekana kuwa na mafanikio?
Je, ni kwa nini nchi zingine, kama vile yetu tanzania , tusiige njia hizo? maana sisi tunapanda taratibu!