jlm
Member
- Dec 15, 2009
- 29
- 18
Habari zenu..
Kuna tabia fulani ya baadhi ya wanaume huwa siielewi, unakuta mtu labda ndo mmefahamiana either kikazi au socially lakini anakuwa serious anapokuona hata kama alikuwa anaongea au anacheka basi akikuona anachuna..hata ukimsalimia kama hataki mazoea vile sasa unakuwa huelewi huyu mtu ananichukia au nimemfanya nini kibaya...siku ya siku anakuja kukutongoza,hapo ndo nachoka sasa ina maanisha nini?
Kuna tabia fulani ya baadhi ya wanaume huwa siielewi, unakuta mtu labda ndo mmefahamiana either kikazi au socially lakini anakuwa serious anapokuona hata kama alikuwa anaongea au anacheka basi akikuona anachuna..hata ukimsalimia kama hataki mazoea vile sasa unakuwa huelewi huyu mtu ananichukia au nimemfanya nini kibaya...siku ya siku anakuja kukutongoza,hapo ndo nachoka sasa ina maanisha nini?