Allency
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 13,982
- 13,342
Sasa atakitoa wapi mkuu?Kipochi manyoya pekee ndo hukosi 50,000 Kwa siku. Jitahid usafi
Sasa atakitoa wapi mkuu?Kipochi manyoya pekee ndo hukosi 50,000 Kwa siku. Jitahid usafi
Acha mkuu, hongera sana yaelekea kipochi manyoya kimekutoa mkuu, ispokuwa inahitaji nyie wenye uzowefu mkubwa mlioanza kazi hizo toka kitambo mkuu, lissu anaweza kukupa mwongozo zaidi juu faragha zenu, na kangi aliwahi sema mpo salama na kazi zenu za jehanum.Kipochi manyoya pekee ndo hukosi 50,000 Kwa siku. Jitahid usafi
50m kweli huu ni mtambo
Ebwana Mkuu yangu ni Kisasa zaidi, a hapa Bondeni inauzwa sawa na US Dollar kama buku3na ushee.Ntapata mchakato wa kuipatia kazi?Umeipata kwa bei gani?
Sema bei isikutisheUmeipata kwa bei gani?
Concrete mixer.Nje ya magari na vifaa vya aina hiyo,
Je ni mashine gani au chombo gani cha utendaji wa kazi za kiufundi au ukandarasi ukiwa nacho alhamdulilah utapumua.
Inauzwa bei gani hiyo?Inategemea upo mkoa gani... Location, misimu pia muhimu.
Weka hata mashine ya kukamua juice ya miwa inalipa sana hasa kipindi hiki cha jua kali
Hii ni bei ?Lathe machine
Safi Sana1. Compressor kwa ajili ya mafundi rangi....20,000 hadi 30,000 per day.
2. Heavy drilling machine 20,000 per day.
3. Grinding machine 20,000 per day.
4. Welding machine 30,000 per day
5. Compactor 50,000-80,000 per day.
6. Mixer 80,000 -100,000 per day.
7. Machine ya kuchaji battery za magari 2,000 per battery.
Bei gani hizo mashine mkuu, kama hutajali1. Compressor kwa ajili ya mafundi rangi....20,000 hadi 30,000 per day.
2. Heavy drilling machine 20,000 per day.
3. Grinding machine 20,000 per day.
4. Welding machine 30,000 per day
5. Compactor 50,000-80,000 per day.
6. Mixer 80,000 -100,000 per day.
7. Machine ya kuchaji battery za magari 2,000 per battery.
Mkuu unataka kubeba zote kwa mpigo?, hongera sana, kwa uzito wa mashine hizo 150-200 elfu ni kawaida kwa siku, "WORKING MACHINES RENTING CO LTD"Bei gani hizo mashine mkuu, kama hutajali
Dah kazi kweliKipochi manyoya pekee ndo hukosi 50,000 Kwa siku. Jitahid usafi
Jaw crusher machine complete hata kwa 10 millions unapata na ina uwezo wa kuchenjua 2 tons per hour , ni mashine nzuri kwa watu walio hayo maeneo ya migodi au kokotoNina infos hata crusher ya mawe imafedha kweli migodini hasa wachimba dhahabu, tatizo kulitenheneza mpaka upate diff la tractor! Lakini kwa infos hugharimu 15mil,huwa kwa infos za juu juu halikosi 200,000/-p/day!
1.5M unaipata kwetuInauzwa bei gani hiyo?
Zamani mishikaki ilikuwa watu wawili lakin boda boda kutaka kuwachokoza usalama barabarani wakaamua kuongeza mishikaki sahv ni watu watatu