Ni marufuku kuimba wimbo wa Taifa bila kibali maalumu cha Wizara ya Mambo ya Ndani

watu wamekosa kazi za kufanya. Anyway, wakae la wimbo lao haitupunguzii kitu, kwanza sina hata kipaji cha kuimba.
 
Lakini mimi bado najuliza hivi rangi iliyopo kwenye Bandera ya taifa kweli inafanana na rangi ya dhahabu? Naona wanataka kutugeuza macho yetu yarudi upande wa nyuma kitu ambacho hakiwezekani.
Mimi naona watengeneze bendera mpya waweke hiyo rangi ya dhahabu vinginevyo hiyo iliyopo ni njano full stop.
 
Anaesema MARUFUKU ni MTANZANIA! Anaepigwa MARUFUKU ni MTANZANIA! Wimbo ni Wa TANZANIA! Kuuimba inaleta hisia kwamba kweli mimi ni MTZ! Sasa mbona TUNABAGUANA? Nawaomba viongozi wetu hebu JARIBUNI kutafuta lugha nyingine ya KUTOA mnapokuwa na jambo la KUTUELEKEZA cc wananchi badala ya kila mkisema ninyi ni MARUFUKU! Hili neno LINAKERA SANA! MUNGU IBARIKI TANZANIA!
 
Halafu wanatufanya sisi ni colour blind, nimetoka kuingalia hiyo bandera hapo nje, rangi wanayoizungumzia ni njano. Inabidi wabadilishe bendera zote nchi nzima na kwenye balozi zetu, watoe njano waweke hiyo golden.Napendekeza ile kampuni inayojenga Chato airport ipewe kandarasi ya kubadilisha rangi bendera zote.
 
Vipi kuhusu walimu kuwafundisha wanafunzi wimbo wa taifa nao ni hadi kuomba kibali??
Anaesema MARUFUKU ni MTANZANIA! Anaepigwa MARUFUKU ni MTANZANIA! Wimbo ni Wa TANZANIA! Kuuimba inaleta hisia kwamba kweli mimi ni MTZ! Sasa mbona TUNABAGUANA? Nawaomba viongozi wetu hebu JARIBUNI kutafuta lugha nyingine ya KUTOA mnapokuwa na jambo la KUTUELEKEZA cc wananchi badala ya kila mkisema ninyi ni MARUFUKU! Hili neno LINAKERA SANA! MUNGU IBARIKI TANZANIA!
 
Ila kuna radio inatumia wimbo huu vibaya na kuushusha thamani. Zamani ilikuwa ukiusikia redioni unajua msiba wa kitaifa. Siku hizi umekuwa kibwagizo.
 
Mahafali ya shule za msingi, sekondari na vyuo wimbo wa Taifa huimbwa na hii huwakumbusha au kuwafundisha wengine walioujua...sasa kama wanatakazwa kwa hiyo wataimba tuu wimbo wa shule. Makanisani siku za sherehe za kitaifa makasisi hupenda waamini kuimba wimbo wa Taifa ili kuenzi siku hiyo....sasa kibali kitatafutwa ndio waamini waimbe wimbo wa Taifa?

Madhara ya katazo hili wimbo wa Taifa na maudhui yake yatabaki wa vyombo vya ulinzi na usalama pekee.
 
Team za michezo zikicheza na team za nje
Hvi itabidi waombe kibali

Ova
 
The flag of Tanzania consists of a Gold-edged black diagonal band, divided diagonally from the lower hoist-side corner, with a green upper triangle and blue lower triangle. Adopted in 1964 to replace the individual flags of Tanganyika and Zanzibar, it has been the flag of the United Republic of Tanzania since the two states merged that year. The design of the present flag incorporates the elements from the two former flags.

Tanzania
UseNational flag, civil and state ensignProportion 2:3Adopted 30 June 1964; 54 years agoDesign A Gold-edged black diagonal band divided diagonally from the lower hoist-side corner: the upper triangle is green and the lower triangle is blue.
 
Vipi kuhusu walimu kuwafundisha wanafunzi wimbo wa taifa nao ni hadi kuomba kibali??
Cjui watajifunzaje? Maana ni MARUFUKU KUIMBA bila kibali! Labda wakubwa watatoa UFAFANUZI! Maana anaepigwa marufuku c ni LAZIMA awe AMEJIFUNZA? Sasa wakati Wa kujifunza atakuwa ANASEMA au ANAIMBA? Maana asije akaingia HATIANI! Cjui wakubwa watakuwa wameona TATIZO gani! Maana naona UTAMBULISHO mkubwa Wa RAIA yoyote au nchi ni BENDERA na WIMBO WA TAIFA!
 
Back
Top Bottom