666 chata
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 1,688
- 3,822
Kila saa unasema wanaume wanaume wa kazi watawanyoosha hio siku, iv ukiambiw utaje wanajeshi imara unawaweza kuwataja hawa wanajeshi wa Tanzania kweli? Walaa hataaa raia hatuwezi kuwaogopa ikiwa tumechoka basi tutanyooshana vizuri tu, tuombe busara tu na sio unatutishia wanheshi wenye vitambi na mikwara mingi tu.