Ni maandamano au ni mapinduzi?

Lizaboni

JF-Expert Member
Feb 21, 2013
33,894
20,372
Wadau, amani iwe kwenu.

Nimefuatilia baadhi ya mitandao ya kijamii hususan Instagram na Telegram kuhusu haya makundi ya watu wanaotamani kuuangusha utawala wa Rais Magufuli. Kwa kiswahili wanasema kuwa hayo ni maandamano ya Amani. Ila kwa Kiingereza wanatamka Tanzania Revolution.

Kwa uelewa wangu, Maandamano tafsiri yake kwa Kiingereza ni Demonstration au Protests. Na Revolution maana yake kwa kiswahili ni Mapinduzi. Kwa uelewa wangu finyu, busara huweza kutumika katika kudeal na maandamano ikiwa ni pamoja na matumizi kiduchu ya nguvu. Ila Mapinduzi hapo lazima ujidhatiti kukabiliana nayo. Hapo silaha za moto na nzito hutumika na ni haki ya vyombo vya dola kutumia nguvu zote ili kulinda himaya dhidi ya maadui wa ndani na nje.

Kingine, Maandamano hudhibitiwa na Jeshi la Polisi. Ila Mapinduzi hapo wanaume wa kazi, JWTZ huingia mzigoni. Hapo silaha zinazotumika ni za moto tu. Hawajafundishwa kutumia TEAR GAS hao.

Kwa hiyo, ni vema wale wanaotamani kuona utawala wa Rais Magufuli unaangushwa wakatafakari upya ni nini hasa wanataka kufanya siku hiyo na nini madhara yake. Ni vema wakaweka wazi je wanataka kuandamana ama wanataka kufanya mapinduzi? Maandamano YES ila MAPINDUZI ni BIG NO. Watu wasije kufumuliwa vichwa wakifanya mapinduzi then wakaanza kulalamika kuwa jeshi la polisi na JWTZ wametumia nguvu ya ziada.
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Nimefuatilia baadhi ya mitandao ya kijamii hususan Instagram na Telegram kuhusu haya makundi ya watu wanaotamani kuuangusha utawala wa Rais Magufuli. Kwa kiswahili wanasema kuwa hayo ni maandamano ya Amani. Ila kwa Kiingereza wanatamka Tanzania Revolution.

Kwa uelewa wangu, Maandamano tafsiri yake kwa Kiingereza ni Demonstration au Protests. Na Revolution maana yake kwa kiswahili ni Mapinduzi. Kwa uelewa wangu finyu, busara huweza kutumika katika kudeal na maandamano ikiwa ni pamoja na matumizi kiduchu ya nguvu. Ila Mapinduzi hapo lazima ujidhatiti kukabiliana nayo. Hapo silaha za moto na nzito hutumika na ni haki ya vyombo vya dola kutumia nguvu zote ili kulinda himaya dhidi ya maadui wa ndani na nje.

Kingine, Maandamano hudhibitiwa na Jeshi la Polisi. Ila Mapinduzi hapo wanaume wa kazi, JWTZ huingia mzigoni. Hapo silaha zinazotumika ni za moto tu. Hawajafundishwa kutumia TEAR GAS hao.

Kwa hiyo, ni vema wale wanaotamani kuona utawala wa Rais Magufuli unaangushwa wakatafakari upya ni nini hasa wanataka kufanya siku hiyo na nini madhara yake. Ni vema wakaweka wazi je wanataka kuandamana ama wanataka kufanya mapinduzi? Maandamano YES ila MAPINDUZI ni BIG NO. Watu wasije kufumuliwa vichwa wakifanya mapinduzi then wakaanza kulalamika kuwa jeshi la polisi na JWTZ wametumia nguvu ya ziada.
Acha kutisha watu mkuu na wala usijisahau kuwa na wewe ulizaliwa kama sisi tulivyozaliwa,ndio maana sote hatujui kwa nn tumezaliwa na kuwa watanzania ama wao wamezaliwa kuwa waarabu ama wazungu.tumejikuta tu tupo tena baada ya makuuzi ya kiakili na kifikra.ikitokea mtu ana madhara na ukuaji wafikra zako ama "anazikengeuza"akili zako,wewe kama lizaboni unafanya nn!!!?haya ya "kupeperushana"mihemko yanaanzia kwa "jua"kisha "mwezi" unaakisi.jua likigoma na mwezi nao utagoma na si dhani kama na nyota nazo "zitawaka"la hasha.mkuu kuna muda watawala wanatembea kwa miguu lakini wanaangalia juu kisha wakijikwaa hawasemi kama wanaangalia juu tyu bali hutafutwa kijiwe kilicho waangusha."kimya kingi kina mshindo.......lakini mtakuja sema mshindo una kimya kingi"
 
Acha kutisha watu mkuu na wala usijisahau kuwa na wewe ulizaliwa kama sisi tulivyozaliwa,ndio maana sote hatujui kwa nn tumezaliwa na kuwa watanzania ama wao wamezaliwa kuwa waarabu ama wazungu.tumejikuta tu tupo tena baada ya makuuzi ya kiakili na kifikra.ikitokea mtu ana madhara na ukuaji wafikra zako ama "anazikengeuza"akili zako,wewe kama lizaboni unafanya nn!!!?haya ya "kupeperushana"mihemko yanaanzia kwa "jua"kisha "mwezi" unaakisi.jua likigoma na mwezi nao utagoma na si dhani kama na nyota nazo "zitawaka"la hasha.mkuu kuna muda watawala wanatembea kwa miguu lakini wanaangalia juu kisha wakijikwaa hawasemi kama wanaangalia juu tyu bali hutafutwa kijiwe kilicho waangusha."kimya kingi kina mshindo.......lakini mtakuja sema mshindo una kimya kingi"
Sijamtisha mtu bali nimeeleza uhalisia. Fanyeni hayo mapinduzi dhen muone cha mtema kuni
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Nimefuatilia baadhi ya mitandao ya kijamii hususan Instagram na Telegram kuhusu haya makundi ya watu wanaotamani kuuangusha utawala wa Rais Magufuli. Kwa kiswahili wanasema kuwa hayo ni maandamano ya Amani. Ila kwa Kiingereza wanatamka Tanzania Revolution.

Kwa uelewa wangu, Maandamano tafsiri yake kwa Kiingereza ni Demonstration au Protests. Na Revolution maana yake kwa kiswahili ni Mapinduzi. Kwa uelewa wangu finyu, busara huweza kutumika katika kudeal na maandamano ikiwa ni pamoja na matumizi kiduchu ya nguvu. Ila Mapinduzi hapo lazima ujidhatiti kukabiliana nayo. Hapo silaha za moto na nzito hutumika na ni haki ya vyombo vya dola kutumia nguvu zote ili kulinda himaya dhidi ya maadui wa ndani na nje.

Kingine, Maandamano hudhibitiwa na Jeshi la Polisi. Ila Mapinduzi hapo wanaume wa kazi, JWTZ huingia mzigoni. Hapo silaha zinazotumika ni za moto tu. Hawajafundishwa kutumia TEAR GAS hao.

Kwa hiyo, ni vema wale wanaotamani kuona utawala wa Rais Magufuli unaangushwa wakatafakari upya ni nini hasa wanataka kufanya siku hiyo na nini madhara yake. Ni vema wakaweka wazi je wanataka kuandamana ama wanataka kufanya mapinduzi? Maandamano YES ila MAPINDUZI ni BIG NO. Watu wasije kufumuliwa vichwa wakifanya mapinduzi then wakaanza kulalamika kuwa jeshi la polisi na JWTZ wametumia nguvu ya ziada.
Mna jeshi kuzidi lile la Tunisia na Libya?
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Nimefuatilia baadhi ya mitandao ya kijamii hususan Instagram na Telegram kuhusu haya makundi ya watu wanaotamani kuuangusha utawala wa Rais Magufuli. Kwa kiswahili wanasema kuwa hayo ni maandamano ya Amani. Ila kwa Kiingereza wanatamka Tanzania Revolution.

Kwa uelewa wangu, Maandamano tafsiri yake kwa Kiingereza ni Demonstration au Protests. Na Revolution maana yake kwa kiswahili ni Mapinduzi. Kwa uelewa wangu finyu, busara huweza kutumika katika kudeal na maandamano ikiwa ni pamoja na matumizi kiduchu ya nguvu. Ila Mapinduzi hapo lazima ujidhatiti kukabiliana nayo. Hapo silaha za moto na nzito hutumika na ni haki ya vyombo vya dola kutumia nguvu zote ili kulinda himaya dhidi ya maadui wa ndani na nje.

Kingine, Maandamano hudhibitiwa na Jeshi la Polisi. Ila Mapinduzi hapo wanaume wa kazi, JWTZ huingia mzigoni. Hapo silaha zinazotumika ni za moto tu. Hawajafundishwa kutumia TEAR GAS hao.

Kwa hiyo, ni vema wale wanaotamani kuona utawala wa Rais Magufuli unaangushwa wakatafakari upya ni nini hasa wanataka kufanya siku hiyo na nini madhara yake. Ni vema wakaweka wazi je wanataka kuandamana ama wanataka kufanya mapinduzi? Maandamano YES ila MAPINDUZI ni BIG NO. Watu wasije kufumuliwa vichwa wakifanya mapinduzi then wakaanza kulalamika kuwa jeshi la polisi na JWTZ wametumia nguvu ya ziada.

Ndiyo maana serikali imerudisha JKT ili watanzania wapate elimu zaidi kuhusu nchi na utawala na uhalali wake. JKT tulifundishwa somo la silaha kwamba; Bunduki imetengenezwa kwa dhumuni la kumuua binadamu.mwisho wa kunukuu.Maelezo ya Lizbon yako sawa kabisa.Ukija kimapinduzi maana yake utadhibitiwa kwa silaha za moto ambazo madhumuni yake hutumika kumuua binadamu. Mange na kundi lake hawakupitia JKT hawajui ni wakati gani askari hubadilika na kuwa mnyama, wasubiri hiyo tarehe waliyoitaja watashuhudia askari wanavyobadilika ktk kuhakikisha wanawalinda wananchi watii sheria
 
Ni maandamano gani ya Aman ambayo yataleta Revolution? hapo wanataka kuletea Mapinduzi. sijajua mmejipangaje kupambana na majeshi katika maandamano yenu. Haya kila la kheri
 
Hapo si CCM tena. Hapo ni wazee wa kazi. JWTZ. Tena ni kitambo hawajatest mitambo yao
Ok kwahiyo nyinyi mnaoleta hizi nyuzi ni jwtz? Wao wapo kimya aliyeongea mpaka sasa ni Siro na sisiemu.

Na mnavyoleta hizi nyuzi utadhani waliopanga kuandamana hawajui kama kuna askari, jkt, jwtz na migambo.
 
Back
Top Bottom