dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 9,410
- 15,993
Jana katika taarifa ya fisi aliyemnyakuwa mtoto kule Magu na kisha kutoweka kusiko julikana na kisha baadae kupatikana na maaskari wa wanyama pori Tawa na kisha kuuwawa na fisi yule kukutwa na hirizi, baadae alijitokeza mtu anayeitwa Vick Kama Likwilile kama Afsa Uhusiano Mwandamizi na kutoa taarifa hiyo kwa vyombo vya habari.
Maswali;
Ni lini uteuzi wake ulifanyika au TAWA siyoIidara ya Serekali?
Huyu VickY si ndio aliwahi kushika nafasi katika Shirika la Under The Same Sun kama sikosei akawa mkurugenzi mkuu CEO?
Huyu huyu Vicky si alipata kuwa Mbunge wa Viti Maaalumu kwa kipindi cha Kati ya miaka mitano hivi?
Je, huyu huyu si ndio alikuwa mke wa Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dr. Likwilile au ni mwingine, kwa vile mimi nimeona akinukuliwa na media fulani?
Hivi kwa Tanzania unawaeza kuwa Mbuge au Mwanasiasa kisha ukamaliza siasa ukarudi katika kazi za utumishi wa umma kama kawaIda?
Sina wivu na kazi zake, ni kwamba kweli TAWA wamemkosa mtu mwingine jobless mmoja hivi mwandamizi mkambless nafasi hiyo kwa vile yeye ameshatumiaka sana kwenye siasa?
No hate please.
Maswali;
Ni lini uteuzi wake ulifanyika au TAWA siyoIidara ya Serekali?
Huyu VickY si ndio aliwahi kushika nafasi katika Shirika la Under The Same Sun kama sikosei akawa mkurugenzi mkuu CEO?
Huyu huyu Vicky si alipata kuwa Mbunge wa Viti Maaalumu kwa kipindi cha Kati ya miaka mitano hivi?
Je, huyu huyu si ndio alikuwa mke wa Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dr. Likwilile au ni mwingine, kwa vile mimi nimeona akinukuliwa na media fulani?
Hivi kwa Tanzania unawaeza kuwa Mbuge au Mwanasiasa kisha ukamaliza siasa ukarudi katika kazi za utumishi wa umma kama kawaIda?
Sina wivu na kazi zake, ni kwamba kweli TAWA wamemkosa mtu mwingine jobless mmoja hivi mwandamizi mkambless nafasi hiyo kwa vile yeye ameshatumiaka sana kwenye siasa?
No hate please.