Ni lini ukomo wa kutafuta ajira?

inamaana kuna wengine tutaendelea ku-apply mpaka tufike umri wa kustaafu duh kazi kweli kweli...

Pole. Kazi utapata na machungu yote utasahau,trust me kila kitu kina sababu hapa chini ya jua. Huwezi jua kwanini huna kazi hadi sasa hivi.

LAKUFANYA

Kitu cha kwanza kabisa funga sali sana then angaika kila ofisi inayoonekana utapata nafasi either ya kumeet na hr or hata kuacha cv reception. Nakwambia utaona maajabu ya mungu! Mtangulize yeye ili akupe maono., that's all. I stayed at home jobless in 2 yrs, nikifanya nachokwambia hapo juu. Sasa hivi ni historia.
 
Kuna watu hawapati kazi kwa sababu Mungu kawateua wahustle na kuibuka na kikubwa zaidi. Ukose ajira uhangaike ugundue shughuli au biashara yako na kupata mapesa mengi zaidi na uajiri wenzako wenye uwezo mdogo kuliko wako.
Usife moyo kaka/dada. Walk that extra mile ahead of yesterday and do different things.
Kuna rafiki yangu mmoja alimaliza degree ya BA in education UDOM mwaka 2008 na kuanza kusaka kazi mtaani. Alitafuta kazi miaka miwili bila mafanikio YOYOTE! Akaona haitoshi, akarudi tena kusomea Masters UDOM na kugraduate mwaka 2012. Akaingia tena kutafuta kazi.. ... HOLLA!
Aliumia sana moyo na akili. Baada ya mwaka akaacha kutafuta kazi na kumsaidia rafiki yake kuonesha mpira, akajikusanya akanunua mashine ya selcom kuuza umeme, vocha, kulipia ving'amuzi, akaendesha biashara ya kubeti nk. Hapo ni moja baada ya nyingine, msingi wake ulikuwa 300,000/= tu. Akatafuta vijana waaminifu na kugawa majukumu, akafungua branches na kuendeleza shughuli zake. Hapo Bachelor, Masters vyote kaweka pembeni.
Mwaka 2013 akawa amestabilize na jumla ya vijiwe vitatu, na kila kijana anamletea si chini ya 20,000/= kila siku! ===>> 1,800,000/= kwa mwezi! Hapo kalala tu hafanyi kazi yoyote, vijana wanamfanyia kila kitu.

Mwaka jana alianza kuitwa alikoenda kuomba kazi hapo kabla, naye akaenda kufanya interview na kuwasikiliza. Alikataa kazi kwa kuwa offer ya mshahara ilikuwa ni sh. 670,000/=.

Sasa hivi huyooo anapiga misele tu huku pesa zinaingia kama kawaida.


USIKATE TAMAA, JARIBU NAMNA NYINGINE.
 
Kuna watu hawapati kazi kwa sababu Mungu kawateua wahustle na kuibuka na kikubwa zaidi. Ukose ajira uhangaike ugundue shughuli au biashara yako na kupata mapesa mengi zaidi na uajiri wenzako wenye uwezo mdogo kuliko wako.
Usife moyo kaka/dada. Walk that extra mile ahead of yesterday and do different things.
Kuna rafiki yangu mmoja alimaliza degree ya BA in education UDOM mwaka 2008 na kuanza kusaka kazi mtaani. Alitafuta kazi miaka miwili bila mafanikio YOYOTE! Akaona haitoshi, akarudi tena kusomea Masters UDOM na kugraduate mwaka 2012. Akaingia tena kutafuta kazi.. ... HOLLA!
Aliumia sana moyo na akili. Baada ya mwaka akaacha kutafuta kazi na kumsaidia rafiki yake kuonesha mpira, akajikusanya akanunua mashine ya selcom kuuza umeme, vocha, kulipia ving'amuzi, akaendesha biashara ya kubeti nk. Hapo ni moja baada ya nyingine, msingi wake ulikuwa 300,000/= tu. Akatafuta vijana waaminifu na kugawa majukumu, akafungua branches na kuendeleza shughuli zake. Hapo Bachelor, Masters vyote kaweka pembeni.
Mwaka 2013 akawa amestabilize na jumla ya vijiwe vitatu, na kila kijana anamletea si chini ya 20,000/= kila siku! ===>> 1,800,000/= kwa mwezi! Hapo kalala tu hafanyi kazi yoyote, vijana wanamfanyia kila kitu.

Mwaka jana alianza kuitwa alikoenda kuomba kazi hapo kabla, naye akaenda kufanya interview na kuwasikiliza. Alikataa kazi kwa kuwa offer ya mshahara ilikuwa ni sh. 670,000/=.

Sasa hivi huyooo anapiga misele tu huku pesa zinaingia kama kawaida.


USIKATE TAMAA, JARIBU NAMNA NYINGINE.

Story yako nina ulakin nayo hapo kwa kumaliza udom 2008 ni uongo
Udom imeanzishwa 2007 sasa inakuwaje uyo amalize 2008?
 
Duuh! Kumbe kuna watu waongoo hivi? Hivi unatunga story kama hii ili iweje?..au ndo utapeli kama tuliousikia kwa martha mollel aka strong woman!
 
Mahafari yea kwanza udom ilikuwa sept 2010, huyo amegraduate udom ipi?! Walimu hawafanyi interview, mda ukifika hupangiwa vituo vya kwenda kufanyia kazi. Waliograduate 2010 walishapangiwa vituo, labda Kama waliamua kubadilisha tasnia.

Huyu jamaa si Mkweli, japo lengo lake ni Zuri! Kweli tusikate tamaa wakubwa..
 
kwani mleta mada kasomea ualimu? mi namshauri akalime na kikubwa asichague kazi.
 
Hey wana JF wasaka ajira kama mimi.

Nimekaa na kujiuliza toka nimemaliza chuo huu ni mwaka wa tatu nimekuwa nikiapply kazi kwa miaka yote hiyo lkn sijapata, pia nimejitahidi hata kutafuta mtaji nijiajiri lkn inakataa.

Sasa hivi nimekuwa naona matangazo ya kazi but nimekuwa mzito kuapply coz nafikiria je ni bora hela ya stamp niende gengeni kula au niendelee kuinufaisha Posta.

Naombeni ushauri hivi inatakiwa muda gani ufike ili mtu aache kutafuta kazi mm najua ukomo ni kupata kazi bt kazi hazipatikani, hebu tushauriane.

Ukomo ni PALE UTAKAPO JIAJIRI MWENYEWE
 
ila ukisema unaomba tuta kuuliza unaomba nn
ukisema tukushauri tuta kuuliza tukushauri nn
wewe kama msomi je umeshindwa kutumia Elimu yako au ok utasema tatizo mtaji
ila unajua kuwa mtaji ni kitu kidogo sana kuliko wazo
je una wazo la kufanya au una taka ajira kusimamia mawazo ya wasomi wenzako
mbadala wa mtaji ni wazo
 
ila ukisema unaomba tuta kuuliza unaomba nn
ukisema tukushauri tuta kuuliza tukushauri nn
wewe kama msomi je umeshindwa kutumia Elimu yako au ok utasema tatizo mtaji
ila unajua kuwa mtaji ni kitu kidogo sana kuliko wazo
je una wazo la kufanya au una taka ajira kusimamia mawazo ya wasomi wenzako
mbadala wa mtaji ni wazo

Kwan ni kosa kusimamia mawazo ya wasomi wenzako?weng mnaongelea ujasiliamal kama vile biashara mnazofanya mnauziana wajasiliamal wenyewe vile wakat watumiaji ndo hao waajiriwa
Cha msing wote tunatafuta chapaa tuishi vyema kabla hatujafa iwe kwa kuajiliwa au kujiajil wote lengo chapaa
 
Story yako nina ulakin nayo hapo kwa kumaliza udom 2008 ni uongo
Udom imeanzishwa 2007 sasa inakuwaje uyo amalize 2008?

Mwenyewe nilitaka nimkandamizie hapahapa make katunga uongo wa waziwazi kabisa. Make nakumbuka mpaka nagraduate sikuwahi kusikia habari ya Udom zaidi ya kusikia tu kuwa eneo la chimwaga ni proposed kuwa university.
 
Kuna watu hawapati kazi kwa sababu Mungu kawateua wahustle na kuibuka na kikubwa zaidi. Ukose ajira uhangaike ugundue shughuli au biashara yako na kupata mapesa mengi zaidi na uajiri wenzako wenye uwezo mdogo kuliko wako.
Usife moyo kaka/dada. Walk that extra mile ahead of yesterday and do different things.
Kuna rafiki yangu mmoja alimaliza degree ya BA in education UDOM mwaka 2008 na kuanza kusaka kazi mtaani. Alitafuta kazi miaka miwili bila mafanikio YOYOTE! Akaona haitoshi, akarudi tena kusomea Masters UDOM na kugraduate mwaka 2012. Akaingia tena kutafuta kazi.. ... HOLLA!
Aliumia sana moyo na akili. Baada ya mwaka akaacha kutafuta kazi na kumsaidia rafiki yake kuonesha mpira, akajikusanya akanunua mashine ya selcom kuuza umeme, vocha, kulipia ving'amuzi, akaendesha biashara ya kubeti nk. Hapo ni moja baada ya nyingine, msingi wake ulikuwa 300,000/= tu. Akatafuta vijana waaminifu na kugawa majukumu, akafungua branches na kuendeleza shughuli zake. Hapo Bachelor, Masters vyote kaweka pembeni.
Mwaka 2013 akawa amestabilize na jumla ya vijiwe vitatu, na kila kijana anamletea si chini ya 20,000/= kila siku! ===>> 1,800,000/= kwa mwezi! Hapo kalala tu hafanyi kazi yoyote, vijana wanamfanyia kila kitu.

Mwaka jana alianza kuitwa alikoenda kuomba kazi hapo kabla, naye akaenda kufanya interview na kuwasikiliza. Alikataa kazi kwa kuwa offer ya mshahara ilikuwa ni sh. 670,000/=.

Sasa hivi huyooo anapiga misele tu huku pesa zinaingia kama kawaida.


USIKATE TAMAA, JARIBU NAMNA NYINGINE.

aisee hapo kwenye kuteuliwa ni kweli kabisa,,
 
Back
Top Bottom