Ni lini Magufuli katangaza hali ya hatari nchini?

Wamechoma ccm ili wafanye uharamia kwa raia..ndo kazi yao...yanajulikana hayo
Mbona kule wanakouana wafugaji na majambazi kuua kwa grenade hatuoni vifaru
Huwezi kufanya uharamia kwenye nchi ya kimapinduzi lazima uwe fixed tu..maana hakuna namna sasa
 
Hapana hajamaliza Anaitia njaa nchi, uchumi wa Zanzibar ni Utalii, mtalii gani atakubali akikata kona anaona vifaru badala ya milango yenye nakshi Za kuvutia.

Vifaru, wanajeshi wawekewe mipaka.
Hakuna namna sasa watafanyaje?waache kuchoma nyumba na hao wazee watarudi makambini tu..
 
Huwezi kufanya uharamia kwenye nchi ya kimapinduzi lazima uwe fixed tu..maana hakuna namna sasa

Fixed nani ? Walokua fixed ni Tanganyika wanao lipia gharama hizi za kijinga..na mara hii miaka 5 yote mtapeleka na kuwarejesha wewe lipa kodi kumlinda sheni...nadhani wewe ndo uko fixed..
 
Fixed nani ? Walokua fixed ni Tanganyika wanao lipia gharama hizi za kijinga..na mara hii miaka 5 yote mtapeleka na kuwarejesha wewe lipa kodi kumlinda sheni...nadhani wewe ndo uko fixed..
Mimi simo mkuu nipo mbali sana na hayoo..ila naelezea uhalisia tu..kwani kuna Tanganyika?hii siijui ndio nakusikia wewe
 
Mimi simo mkuu nipo mbali sana na hayoo..ila naelezea uhalisia tu..kwani kuna Tanganyika?hii siijui ndio nakusikia wewe
Mpo wengi hamuijui tanganyika yenu tofauti na wazanzibar wanaoijua historia ya nchi yao,kama mliifuta tanganyika yenu kwa amri ya mtu mmoja usitegemee na zanzibar itafutika kwa amri ya watanganyika.
 
Mpo wengi hamuijui tanganyika yenu tofauti na wazanzibar wanaoijua historia ya nchi yao,kama mliifuta tanganyika yenu kwa amri ya mtu mmoja usitegemee na zanzibar itafutika kwa amri ya watanganyika.
hueleweeki umeeandika kiuamsho zaidi yaani umezidiwa na muhemko...tulia andika vizuri ili usomeke jombaaa..afu wewe Bobwe au bwabwa?
 
hueleweeki umeeandika kiuamsho zaidi yaani umezidiwa na muhemko...tulia andika vizuri ili usomeke jombaaa..afu wewe Bobwe au bwabwa?
MAVIPUNDA,ukoloni watanganyika zidi ya zanzibar upo ukingoni kumalizika,mark my words.
 
kwa kweli kinachoendelea huko Pemba kwa kuonekana kuranda randa kwa magari ya deraya na maroli yaliyosheheni Askari Polisi na wanajeshi bila shaka hari ya kwenye visiwani hivyo imevuka mipaka ya kudhibitiwa kwa nguvu ya Polisi wa kawaida.

Lakini Askari hao hasa wa jeshi la wananchi na vifaru vyao wanaoonekana huko Pemba ni lazima kwanza waruhusiwe na Amiri jeshi Mkuu wa Majeshi kuwa mitaani baada ya yeye kujiridhisha kwamba ulinzi wa kawaida kwa kutumia Askari Polisi umeshindikana. Jee magufuli kama Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania aliwahi mahala popote kuwaambia watanzania kwamba sehemu moja ya nchi yao usalama wake ni tete na unahitaji jeshi la wananchi kuingia?

Ni lazima tuwe na Katiba inayoweka mipaka kwa wanasiasa kuyatumia majeshi yetu kwa manufaa yao ya kisiasa. Ni haki kweli kuwa na vifaru kwenye mitaa ya nchi yako kama vile kuna vita dhidi ya raia unaowaongoza?
Usalama ndio kipaumbele halafu siasa.unajifanya mgeni na siasa za zanzibar? Kuona vifaru wakati wa uchaguzi ni jambo la kawaida,watu wameapa kulinda muungano na mapinduzi
 
MAVIPUNDA,ukoloni watanganyika zidi ya zanzibar upo ukingoni kumalizika,mark my words.
kwani kuna ukoloni huko..kwa data UN nchi ya mwisho kutawaliwa ilikuwa Namibia sasa unavyoongea hivyo unaonekana kituko.Nilikueleza punguza muhemko uandike vizuri.Au hujapata urojo yakheee
 
kwani kuna ukoloni huko..kwa data UN nchi ya mwisho kutawaliwa ilikuwa Namibia sasa unavyoongea hivyo unaonekana kituko.Nilikueleza punguza muhemko uandike vizuri.Au hujapata urojo yakheee
Kama unaamini ukoloni uliisha jiulize kwann tanganyika ni masikini na wakati imejaaliwa rasilimali za kutosha?
 
nchi ya demokrasia za makaratasi tu,.....
viongoz sio weledi nchi sijui ikoje TZ......
KUTISHA raia ni desturi zao.......
 
Back
Top Bottom