Ni lini Magufuli katangaza hali ya hatari nchini?

Hivi tukoje lakini?
Umesoma mada na kuelewa au tunakurupuka tuuuu!!
Mtoa mada amesema Jeshi la wananchi sio polisi bana mh!!
Hebu nikuulize wewe.umeona malori yaliyobeba wanajeshi hapa? Mi nachoona ni magari ya polisi na chombo kinachofanana na kifaru kinakatiza.sasa sijui hao wanajeshi anaowazungumzia mleta mada wako wapi. Tuache kukuza mambo jamani.
 
I said Tanzania is a police state, what has Ferguson got to do with that?
Halafu National Guard ni Jeshi la Marekani kama ilivyo JWTZ iliyopeleka vifaru huko Pemba. Ni wapi hao National Guards wa marekani waliwahi kupeleka vifaru kwa kuwa tu kuna uchaguzi unafanyika? Hawa watu ulinganisho wao huwa unaishangaza kabisa!!
 
Halafu National Guard ni Jeshi la Marekani kama ilivyo JWTZ iliyopeleka vifaru huko Pemba. Ni wapi hao National Guards wa marekani waliwahi kupeleka vifaru kwa kuwa tu kuna uchaguzi unafanyika? Hawa watu ulinganisho wao huwa unaishangaza kabisa!!
Una malaria wewe. Vifaru viko wapi hapo? Hivi unajuwa vifaru wewe? Teh teh teh usinichekeshe mkuu
 
Kwako kuwa na magari ya wanajeshi na polisi wakati wa uchaguzi unaona ni jambo la kawaida? REDET tafiti zao zingine huwa zinaukweli fulani. Walisema wengi wao wanaoiunga mkono CCM ni...

K
Magari ya wanajeshi hapo yako wapi? Mbona mnapenda uzushi sana? Unajua magari ya kijeshi. ? Hayo ni magari ya polisi na kazi ya polisi ni kulinda usalama wa RAIA na Mali zao.

Mkuu mbona sioni picture uliyotuma ili tuone,,maana ulivyokoment nkajua kuna picture umeipost
 
Labda naona makengeza ngoja nifikiche macho!!, kwani kati ya Askali na Jeshi nani anayetumua vifaru vyenye mabakamabaka?
Hebu nikuulize wewe.umeona malori yaliyobeba wanajeshi hapa? Mi nachoona ni magari ya polisi na chombo kinachofanana na kifaru kinakatiza.sasa sijui hao wanajeshi anaowazungumzia mleta mada wako wapi. Tuache kukuza mambo jamani.
 
Anayo mamlaka ya kutangaza hiyo "Curfew" Kikatiba? Kwanza yeye ni MKuu wa wilaya ambaye hakuteuliwa na Rais wa JMT kwa ivo hana mahusiano yoyote na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Tanzania wala na majeshi yake anayoyaongoza.

SASA ANAPO TANGAZA CURFEW NANI WA KUTEKELEZA KAMA SIO MAJESHI AMBAYO HANA AMRI NAYO. HIVI NDIVYO THE SO CALLED NAMNA KATIKA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA ILIVYO SHAGRA BAGRA!!! NA BADO MNAITAKA NA KUKATAA ILE YA WANNCHI KUPITIA JAJI WARYOBA!!!
 
Umeshashuhudia viashiria vya fujo.. nyumba kuchomwa moto n.k. Habari za ndani ni kuwa hata Jeshi la Polisi Zanzibar ni 'polarised' kisiasa. Sasa unategemea JWTZ wafanyeje ndani ya utaratibu wa sheria? Si lazima waonyeshe kuwa wapo?

Mipaka ya Jeshi haihusiani Na kuchomwa moto Maskani, hiyo ni kazi ya zimamoto Na Askari wa FFU,hawa majeshi wetu wanatamani vita ndani ya nchi Yao. Jeshi Jamani sio Jecha. Linatakiwa lijiheshimu. Jeshi linatengeneza mazingira yasiyoeleweka athari yake ni kubwa. Halifai kutumika kisiasa.

Pemba hakuna sababu ya watu kuwekewa kafew eti Kwa kuchomwa moto kituo cha hospital, Mbona hawawekewi kafew wakulima Na wafugaji wanaouana Kama kuku? Kwa wapemba haya ni maonevu makubwa ni kuwaonea wanyonge.
 
Mipaka ya Jeshi haihusiani Na kuchomwa moto Maskani, hiyo ni kazi ya zimamoto Na Askari wa FFU,hawa majeshi wetu wanatamani vita ndani ya nchi Yao. Jeshi Jamani sio Jecha. Linatakiwa lijiheshimu. Jeshi linatengeneza mazingira yasiyoeleweka athari yake ni kubwa. Halifai kutumika kisiasa.
Pemba hakuna sababu ya watu kuwekewa kafew eti Kwa kuchomwa moto kituo cha hospital, Mbona hawawekewi kafew wakulima Na wafugaji wanaouana Kama kuku? Kwa wapemba haya ni maonevu makubwa ni kuwaonea wanyonge.
Kiulinzi hali ya Pemba ni 'highly charged'. Hali ya usalama inazorota siku baada ya siku.Hatua zinazoendelea kuchukuliwa ni za lazima..
 
Back
Top Bottom