Uliza_Bei
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 3,216
- 988
Nimeshangaa sana kusikia malalamiko ya Samwel Sita na leo kutoka kwa Dr Harrison Mwakyembe na barua aliyoiandika: kuna tatizo na mgogoro kati ya serikali hii ya Jk na watu hawa pamoja na wale wanaopinga ufisadi. Mimi nawauliza kwanini wasiache kazi? Ni lazima watumikie huyu kafiri wao? Nawasikitikia