Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 27,128
- 39,346
Historia tunayoisoma na kuifahamu kwa sasa imepotoshwa sana, kuna uwezekano mkubwa tu kuwa waafrika katika wakati fulani walikuwa superior kuliko hao wengine.
Historia haidanganyi kaka u superior ktk lipi?
Kama ndivyo why tulibaki nyuma kiteknolojia?