Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Ni kama vile fumbo la imani, kwa wale waamini wa kristu wataungana na mimi kuwa habari za Mungu na uumbwaji wa dunia zilikuja kuandikwa na Musa, na Musa aliziandika kama vile aliziishi ijapokuwa karma ya kiroho inasema Musa alikuwa mbeba kizazi yani kizazi cha Musa kikaishi miaka 2000, Kikaja kizazi cha Eliya Mtishibi nacho kikaishi miaka 2000, Kikaja kizazi cha Yesu nacho kimeishi miaka 2000, sasa kwamjibu wa karma ya kiroho nikuwa Mungu mwenyewe ameshuka kukiongoza kizazi hiki tunacho ishi mimi na wewe,
Vivyo hivyo kwa upande wa binadamu wa kiafrika habari zake na uumbwaji wake zimekuwa zikitoka kwa binadamu weupe wazungu, kanakwamba wao waliyaishi maisha ya mwafrika huyu.
Je, nikweli kwamba, hapo zamani za kale Waafrika hatukuwa na Historia; na kwamba Historia yetu ilianzia baada ya kuja kwa Watu Weupe wazungu
Na iwapo suala hili jawabu lake ni hapana, kuna uthibitisho wowote wa Kihistoria unaothibitisha kwamba, kuna wakati ambao Mwafrika hakuwa Mnyonge na kwamba aliwahi kuwa juu kimaendeleo dhidi ya Watu wa Jamii nyingine Duniani.?
Vivyo hivyo kwa upande wa binadamu wa kiafrika habari zake na uumbwaji wake zimekuwa zikitoka kwa binadamu weupe wazungu, kanakwamba wao waliyaishi maisha ya mwafrika huyu.
Je, nikweli kwamba, hapo zamani za kale Waafrika hatukuwa na Historia; na kwamba Historia yetu ilianzia baada ya kuja kwa Watu Weupe wazungu
Na iwapo suala hili jawabu lake ni hapana, kuna uthibitisho wowote wa Kihistoria unaothibitisha kwamba, kuna wakati ambao Mwafrika hakuwa Mnyonge na kwamba aliwahi kuwa juu kimaendeleo dhidi ya Watu wa Jamii nyingine Duniani.?