Zikomo Songea
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 670
- 580
Kwamba Waafrika hatukuwa na historia yetu kabla ya ujio wa Wazungu ni uzushi mkongwe. Uzushi huu ulianza karne ya 19 na kushamiri hadi karne ya 20. Hiki lilikuwa ni kipindi cha ubepari mkongwe au ubeberu (imperialism) ambapo mabepari wa Ulaya walieneza na kuupa nguvu uvumi huu ili kuwadunisha Waafrika na kuwafanya watawalike kirahisi.
Kigezo kikubwa kilichotumika katika madai haya ni kuwa historia huhifadhiwa katika maandishi (written documents) na Waafrika hawakuwa wameandika kuhusu historia yao. Maandishi katika Africa yameletwa na mtu mweupe wakati wa ukoloni.
Ukweli ni kwamba kila jamii ina namna yake ya kuhifadhi historia na kumbukumbu nyingine muhimu. Kwa hiyo kiasi kikubwa cha historia ya Waafrika kilihifadhiwa katika masimulizi ya mdomo (oral traditions). Pia tafiti nyingi za akiolojia (archaeological studies) zimeonyesha kwamba Waafrika wanayo historia kuongea. Imethibitika pasipo shaka yoyote, kwa mfano, kwamba ajili ya binadamu ni Afrika. Imethibitika pia kuwa ni Waafrika ndio walioanza kujenga waliojenga Mawe Zimbambwe? Au kuhusu ajili ya ufaidi chumba katika Africa?
Kigezo kikubwa kilichotumika katika madai haya ni kuwa historia huhifadhiwa katika maandishi (written documents) na Waafrika hawakuwa wameandika kuhusu historia yao. Maandishi katika Africa yameletwa na mtu mweupe wakati wa ukoloni.
Ukweli ni kwamba kila jamii ina namna yake ya kuhifadhi historia na kumbukumbu nyingine muhimu. Kwa hiyo kiasi kikubwa cha historia ya Waafrika kilihifadhiwa katika masimulizi ya mdomo (oral traditions). Pia tafiti nyingi za akiolojia (archaeological studies) zimeonyesha kwamba Waafrika wanayo historia kuongea. Imethibitika pasipo shaka yoyote, kwa mfano, kwamba ajili ya binadamu ni Afrika. Imethibitika pia kuwa ni Waafrika ndio walioanza kujenga waliojenga Mawe Zimbambwe? Au kuhusu ajili ya ufaidi chumba katika Africa?