Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 31,520
- 65,191
Waliokuwa " lupango " utawajua tu.
Waliokuwa " lupango " utawajua tu.
Naelewa fika kwamba video iko kwa slow motion lakini ukimuangalia huyo fundi wa mic huoni kama ana hofu fulani???
Kwa kumuangalia tu kwa macho yangu nimeelewa!Hofu yake umeipimaje?
Mkuu gentamycine embu tuambie bana uchaw wa hao jamaa wengine please ama PM mkuu nami nawafatilia ila upande huo sjawah kupagusa ila nlisikaga tena majuz tu juu ya uchaw wa koffi olomide ingawa sjaamini mkuu..
mmh! wewe ni mtangazaji wa radio one bisha usibishe tena yule baba wa hawavumi lakini wamo. time will tell
Koffi Olomide hapandi jukwaani hadi aende chooni na kujipaka mkojo wake huku JB Mpiana kila akienda kupanda jukwaani lazima ammeze chura, Werrason kila akienda kufanya onyesho lake basi lazima alale na sokwe chumbani kwake ( hapa simaanishi kuwa anafanya nae mapenzi ), Zaiko langa langa wakiwa na onyesho basi lazima watoe kafara ya Mtu ( hakuna onyesho la Zaiko langa langa likimalizika tu asife Mtu ndani au nje ya ukumbi, Extra Musica ile ya Kiongozi wao mpiga gitaa maarufu la solo Ibambi Ikombi ( wengi mnamjua kwa jina la Roga Roga ) hawapandi jukwaani hadi waogee maji ya maiti ambayo hutunzwa katika kifaa maalum, Fally Ipupa na Ferre Gola wanatumia uchawi wa aina moja ambao kama wakiwa nchini DR Congo na wana onyesho basi huenda kulala ndani ya jeneza kwa masaa machache kabla ya kwenda ukumbini na Fally Ipupa aliamua kutumia huu uchawi baada ya kushtukiwa na Wanamuziki wenzake kuamua kumtoa kafara Mama yake Mzazi ili album yake ya kwanza ambayo imemtambulisha, kumpa umaarufu mkubwa na kumtajirisha ya " bakandja " ifanikiwe, huku Hayati Pepe Kalle yeye alikuwa akipendelea sana kufanya mapenzi na wale mbilikimo ( eskimo ) kisha anawatoa kafara ya kuwauwa kishirikina na mwisho ni Hayati Madilu System ambaye yeye uchawi wake mkubwa na ambao kila mwana Congo anaujua ni tabia yake ya kupenda kuishi na majini huku akiwafanya ndondocha wana muziki wake ambao huwaona kinyota wako vizuri. Nadhani kwa ufafanuzi huu kuntu kidogo nitakuwa nimekidhi haja yako ya moyo na pia kuwa na faida kwa wengine pia.
Duh haya mambo yanatisha sana
Hapo kwenye Omba nimekumbuka jb waqt anamwambia allan prince makaba de yolekibango kumaanisha kwa kupiga gitaa kawazidi wenzie mbali sana.Sio siri niliwapenda bcbg walipokuwa wote yaani werrason,Adolf,jb,emellie lemingongo,afande na mkubwa dedier masela hupata ladha yenyewe hapo.Alain Mpela " Afande " ni kweli anataka kurudi BCBG na alikuwa ni kipenzi mkubwa sana wa JB Mpiana na hata katika nyimbo zote za rhumba ( za taratibu ) za Wenge Musica BCBG kama OMBA na JEANNETE JB Mpiana humuimba mno Alain Mpela huku akitaka hata kulia kwani alimpenda sana na alimkuza mwenyewe. Kikwazo kikubwa sasa cha Alain Mpela kurudi kundini ni kwakuwa tayari nafasi yake imezibwa vizuri mno na Mwanamuziki Bishoo na fundi wa kuchezea sauti aitwae Jean Didier Loko JDL a.k.a Tramendou lakini kama pia haitoshi Alain Mpela wakati akitoka BCBG alikuwa ndiyo Kiongozi wa Wanamuziki wa Bendi ( Directoreire de artiste ) nafasi ambayo sasa JB Mpiana kampa Mwanamuzi Mkongwe na ambaye ndiyo anatunga nyimbo karibia 85% za Wenge Musica BCBG na pia anapanga mashairi na anatengeneza mistari yote ya nyimbo aitwae Jules Kibens a.k.a Le Professeur a.k.a Molongeshi hivyo JB Mpiana anaogopa kumrudisha Alain Mpela Afande asije akaleta chuki za kimadaraka kundini. Kwa faida yako / yenu huyu Mwanamuziki Jules Kibens ni Mwalimu cha Lugha wa Chuo Kikuu cha Kinshasa na ni mtaalam sana wa lugha ya Kifaransa na kile Kifaransa sanifu unachokisia kikiimbwa katika nyimbo nyingi za Wenge Musica BCBG kimetengenezwa na Jules Kibens.
Labda hujafahamu enzi zao wanamuziki wa kikongo nchini mwao walikua na mvuto mkali na ushindani baina yao... Kiasi cha kuweza hata kuwa na athari kubwa katika siasa za nchi.Kwani Papa wemba alijihusisha na siasa? wamuue ili wapate nini, alikuwa na ugomvi na nani? au hakuheshimu wake za watu, tuelezeeni kwanza maisha yake kwenye jamii iliyomzunguka yalikuwaje?
Ndipo tutapata pa kuanzia kujiunga nanyi ku speculate.
Kwa maana hata mwanamuziki mkongwe wa reggae Joseph Hill "culture" alifia stajini huko ujerumani.
Nimeweka hiki kipambanuzi ili kuubaini uwezekano wa kufia kwenye stage ukiperform.
Ok!Labda hujafahamu enzi zao wanamuziki wa kikongo nchini mwao walikua na mvuto mkali na ushindani baina yao... Kiasi cha kuweza hata kuwa na athari kubwa katika siasa za nchi.
Hapo kwenye Omba nimekumbuka jb waqt anamwambia allan prince makaba de yolekibango kumaanisha kwa kupiga gitaa kawazidi wenzie mbali sana.Sio siri niliwapenda bcbg walipokuwa wote yaani werrason,Adolf,jb,emellie lemingongo,afande na mkubwa dedier masela hupata ladha yenyewe hapo.
Kaka umemaliza kila kitu,wanamziki wote wakongwe wana wapambe wao na walinzi hivyo si rahisi kumfanyia jambo lolote la hatari boss wako mbele ya watu mfn JB Mpiana hata chupa yake ya maji hushikiliwa na yule mpiga drums peke yake.Aiseeee! Mkuu hizi ni habari toka kwa wanahabari vilaza, few weeks ago Papa Wemba alianguka (Paris) akashauriwa na Dr. apumzike, baadae alipopona akapewa go ahead tena ya kuendelea na kazi yake.
Pia yeye mwenyewe alijitabiria kifo chake (aliwish afe akiwa stejini).
Tatu tutaishi tupendavyo lakini kifo hakizuiliki. Mda wa Mzee Wemba karudisha amana kwa muumba wake ulifika.
Umahiri huo wa spelling kweli sinao ila nashukuru umenielewa na kunijibu swali langu kwa upana kuna kisa kilizungumzwa kuhusu jb na Amida baada ya kuolewa na Didier kinuani kuwa Didier alimualika werrason atumbuize penye tafrija ya ndoa werrason akakataa japo walikuwa na ugomvi na jb je ni kweli khabari hii?Safi sana Mkuu ila nakusahihisha kidogo kwa majina yao baadhi kwani umeyakosea na nimejisikia vibaya mno ukizingatia Mimi ni Mwana Bana Wenge Musica BCBG tena niliyetukuka na huniambii kitu kwa Jean Bedele Tshituka Mpiana ( JB Mpiana ) na Bendi nzima ya Wenge Musica BCBG ambayo wenye DR Congo huiita " La Machine Music " au " Le Equipe Nationale " wakiwa na maana Wenge Musica BCBG ni mashine ya muziki na pia ni sawa na timu ya taifa kutokana na kwamba imesheheni MAFUNDI watupu katika kila idara ya kimuziki.
- Ni Adolphe ni siyo Adolf ukimaanisha anaitwa Adolphe Dominguez Demingogo.
- Ni Amelie Byakodile na siyo Emellie Lemingongo.
- Ni Didier na siyo Dedier ukimaanisha anaitwa Didier Masela.
Hata Kikwete wakati anandondoka kwenye jukwaa Mwanza wakati wa kampeni zake nayeye pia aliwekewa sumu na wasukuma tulimroga. (Maana ndivyo mnavyotaka kutukaririsha)Mkuu baada ya Mic kubadirishwa haukupita muda Papa Wemba anaanguka chini, then baadaye unaona mic ikiondolewa, unaona mwenyewe kila kitu, sio story za hisia, yani unaona kwa macho yako.
Kaka umemaliza kila kitu,wanamziki wote wakongwe wana wapambe wao na walinzi hivyo si rahisi kumfanyia jambo lolote la hatari boss wako mbele ya watu mfn JB Mpiana hata chupa yake ya maji hushikiliwa na yule mpiga drums peke yake.
Ni nuksi tupu mkuu sijui JB huyu jamaa akitokomea itakuwaje. Jamaa anacheza na hisia za mashabiki kinoma. Hivi kwanini ma promota wa bongo hawamleti huyu jamaa waone viuno vilivyoenda shule na show kali kama la Barca?Ambaye anaitwa Seguen Mignon Maniata. Bado sijaona DR Congo nzima mpiga drums wa kumzidi au kushindana na huyu Seguen Mignon Maniata.
Umahiri huo wa spelling kweli sinao ila nashukuru umenielewa na kunijibu swali langu kwa upana kuna kisa kilizungumzwa kuhusu jb na Amida baada ya kuolewa na Didier kinuani kuwa Didier alimualika werrason atumbuize penye tafrija ya ndoa werrason akakataa japo walikuwa na ugomvi na jb je ni kweli khabari hii?