Ni kweli kuwa ndege wa Taifa la Tanzania ni bundi?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Jan 31, 2021
7,240
12,762
Nchi nyingi huwa na ndege, mnyama, mdudu, ua, mti. . . Vya taifa. Mnyama wa taifa la Tanzania anajulikana ni twiga ila hivyo vingine havijulikani au labda havipo. Katika kusearch ndege wa taifa la Tanzania nikakutana na bundi wa Usambara(Usambara Owl-Eagle) wanasema ndiyo ndege wa taifa la Tanzania. Bundi huyu anapatikana kwenye milima ya Usambara tu.

Ni kweli ndiyo ndege wa Taifa?


usamabara.jpg
640.jpeg
1200.jpeg

NB: Ni wakati wa kupata viumbe wa taifa kama hatuna. Faida yake kubwa ipo kwenye utalii.
 
Nchi nyingi huwa na ndege, mnyama, mdudu, ua, mti. . . Vya taifa. Mnyama wa taifa la Tanzania anajulikana ni twiga ila hivyo vingine havijulikani au labda havipo. Katika kusearch ndege wa taifa la Tanzania nikakutana na bundi wa Usambara(Usambara Owl-Eagle) wanasema ndiyo ndege wa taifa la Tanzania. Bundi huyu anapatikana kwenye milima ya Usambara tu.

Ni kweli ndiyo ndege wa Taifa?



NB: Ni wakati wa kupata viumbe wa taifa kama hatuna. Faida yake kubwa ipo kwenye utalii.
Tausi...hadi wimbo wake upo
 
Nchi nyingi huwa na ndege, mnyama, mdudu, ua, mti. . . Vya taifa. Mnyama wa taifa la Tanzania anajulikana ni twiga ila hivyo vingine havijulikani au labda havipo. Katika kusearch ndege wa taifa la Tanzania nikakutana na bundi wa Usambara(Usambara Owl-Eagle) wanasema ndiyo ndege wa taifa la Tanzania. Bundi huyu anapatikana kwenye milima ya Usambara tu.

Ni kweli ndiyo ndege wa Taifa?



NB: Ni wakati wa kupata viumbe wa taifa kama hatuna. Faida yake kubwa ipo kwenye utalii.
asee bundi ndiye ndege wa taifa?

Kwa maana hiyo watanzania sisi ni wavivu kinoma.

Bundi mchana anakuwa kama zuzu lakini usiku anakiwa active sana...
 
Bora hata tungechagua popo kama ndege/mnyama wa taifa.

Maana watanzania mchana tumelala. Usiku ndio tunajifanya tumeamka kushangaa mataa ya mji. Kabla hatujapanga la maana kumekucha. uchaguzi mwingine upo mbele yetu.
 
Back
Top Bottom