kuna ndugu yangu alijiunga(jana) na extreme ya kuongea ya kampuni ya simu ya tiGO. Saa kadhaa baadaye nilishangaa kuona kanitumia tafadhari nipigie,
nilijiuliza iweje mtu mwenye xtrm aombe nimpigie?
Nikasema sio bure, lazima kunasababu, basi nilipompigia akaniambia hawazi tena kupiga simu na hajui sababu. zaidi ya hilo akasema hata crdt zilizo kuwa zimesalia nazo wamelamba.
Nikamwambia umejaribu kupiga customer care? akasema bila sh 100 huwezi. Nikamwambia subiri nimuulize jamaa yangu mmoja anayefanya kazi huko.
Alichoniambia ni kuwa kwa sasa xtrm ni saa 3.5 (masaa ma 3 na nusu tu)
Naomba kujua hili swala ni kweli?
Limeanza lini?
Wateja wao wote wanalijua hilo?
Naomba kuwasilisha hoja.
nilijiuliza iweje mtu mwenye xtrm aombe nimpigie?
Nikasema sio bure, lazima kunasababu, basi nilipompigia akaniambia hawazi tena kupiga simu na hajui sababu. zaidi ya hilo akasema hata crdt zilizo kuwa zimesalia nazo wamelamba.
Nikamwambia umejaribu kupiga customer care? akasema bila sh 100 huwezi. Nikamwambia subiri nimuulize jamaa yangu mmoja anayefanya kazi huko.
Alichoniambia ni kuwa kwa sasa xtrm ni saa 3.5 (masaa ma 3 na nusu tu)
Naomba kujua hili swala ni kweli?
Limeanza lini?
Wateja wao wote wanalijua hilo?
Naomba kuwasilisha hoja.