Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 19,101
- 41,604
WeweKaka nani pumbavu sasa??
WeweKaka nani pumbavu sasa??
Mwanamke mwenye drama kama huyo wa nini?piga chini
Hizo damu zilizomtoka hazitakiwi kuwa shida zako kwasababu yeye anajua sababu ndio maana akajihami kwa kutandika kitenge
Sa upumbavu wangu ni nn mtani wangu??Wewe
Umeanza kupagawa?Wasalaam madaktari na wahenga...
Ninaandika uzi huu nikiwa na maswali mengi yakinichanganya akili.
Nina mchumba wangu ni single mother pia amenizidi hadi umri.
Kwanza ameokoka na katika uchumba wetu, aligoma tusifanye mapenzi kabla ya ndoa otherwise hatutafikia hatua ya malengo yetu, nilitika kishingoupande ila sikukubali kwakua wanawake wa mjini ni janja janja saana. Niliendelea kumchombeza mwishoe akajaa akahitaji tu sex.
Alinipa taadhari kwamba ni miaka mitatu hajafanya mapenzi hivo anahisi atakua kama bikra. Nilifurahi kusikia hivo.
Basi siku tunakutana sikuamini alijifanya kuhangaika na kuomba atandike kitenge chake ili asijechafua shuka la hotel, nilianza kuona vitu vya ajibu kama discharge zenye u kijani nikasema ngoja ni stop nijifute, kuja kufuta zikabadilika rangi na kua nyekundu mithili ya damu, kumcheki na yeye kwenye uke kuna damu? Kumuuliza anasema anashangaa hata yeye hajui pengine ni bikra ivo nimemtoa bikra upyaa.🙄🙄🙄
Akaniambia amekua akiskia maumivu nilipokua na muingilia kwakua ni mda mrefu, hata ivo amekua mtu wa maombi saana kiasi ya kwamba mtumishi wake alimwambia anaweza rudisha bikra yake atakama alisha zaa.
Kifupi damu zilitoka nyingi hadi kero lakini chaajabu sijaona ugumu katika kumwingilia, yaani nikama nilikua nafanya mapenzi na mwanamke mzoefu... nikabaki najiuliza je ni bikra fake (maana naskia zipo) au ni mgonjwa??
MADAKTAR mnisaidie sio mgonjwa kweli?? Na ka mgonjwa atakua anaumwa nn?? Na je hajaniambukiza?
Na nikweli bikra ya nyuzi inaweza kurudi ndani ya miezi mitatu?
Makungwi pia nisaidieni hapo?
kuhusu period hakua tarehe za period
natanguliza shukrani🙏
Yaani sielewi yaanUmeanza kupagawa?
Ndo mana hajaolewa kwa drama iziBikra ikitoka uwa hairudi. Umekutana na tapeli pro max limejificha kwenye mwamvuli wa maombi.
Inasemaje labda ninesahau maana ni kitambo saana??Mkuu hata biology ya form two haukusoma?
Usicheke mfalme wetu plzzz okoa jahaziHahah
Alikuona boya ndio sababu akafanya hivyo,mm niliachana na mchumba kwa sababu kama hizoNdo nawaza mpaka napata hasira hapa
Kazi kweli kweli• Kama wewe ni mvulana achana na haya mambo, tafuta hela kwanza,
• Kama wewe ni mwanaume, Jaribu kusoma kwanza mpaka ujue nini maana ya mwanamke.
Mtu bad saana yaan ka ulikuwepo wallah🤣🤣
Hapana mi ni maji ya kundehivi mnawaza nn enyi ngozi nyeusi
Uko sahihi kabisa na pia amekua mwepesi kutumia pesa kuni bribes nadhani nifanye maamuzi ya kiume fastaHii ya Leo Kali
Kuna Raha ya kudate Mwanamke mwenye drama hivyo jiandae akija na lingine.
Ukimfuatilia kwa makini utagundua amekudanganya vitu vingi
Huyo unamsingizia tuu kuna mtu anaitwa Smart codetzWewe kazi yako ni Kutoa macho tuu na kusema ngoja waje.
Hutoagi ushauri kabisa yani na kila thread wewe ni wa kwanza ku comment.
Nyau kabisa....
Nashukuru saana Dr. Ushauri wako nimeupokea na kuelewa.Mkuu, pole sana.
Bikra unaelewa kwanza ni nini?
Kwa lugha nyepesi Bikra ni uwepo wa HYMEN.
Je, Hymen ni nini?
Hymen ni utando mwembamba wa tishu unaozunguka na kufunika sehemu ya kufungulia ya uke.
Sasa mwanamke akishaingiliwa (iwe kwa hiari ama lazima) ule utando utajikaza na kuchanika.
Na kuchanika kule ndiyo haswa kunakopelekea kutoka damu na wahusika kuita kuvunja bikra.
Je, bikra inaweza kurudi baada ya kutokufanya mapenzi kwa muda mrefu?
Jibu ni HAPANA. Ikishakatika haiwezi kuota tena kwa namna yeyote ile.
Kitabibu haiwezekani abadani.
Ukweli pekee ni kuwa, uke wa mwanamke una uwezo wa kujirudi na kupungua size isipotumika kwa muda mrefu. Ndiyo kunakopelekea kubana na pengine kuhisi kitu haijatumika.
Je, ni nini hicho ambacho kimepasuka na unachikiita damu!?
KItabibu ndiyo zipo capsules ziitwazo Vaginal suppositories. Hizi hutumika katika kubalance PH ya kwenye uke na kutibu baadhi ya maambukizi.
Lakini pia kuna ambazo hutumika kienyeji kwa malengo mbalimbali. Haswaa, kudanganya.
Je, umepata maambukizi?
Hakuna jibu la moja kwa moja. Kwa sababu usahihi pekee ni kupima na kujua kama umeambukizwa ama la. Au pengine mabadiliko kwenye viungo vyako vya uzazi.
Hujatueleza pia kuwa hiyo discharge ilikuwa na harufu gani? Uume wako uliwasha? Kuna mabadiliko yeyote?
Fika hospital kwa uchunguzi.
Its true wala si uongo, nashindwa ku settle coz siamini mwanamke pia ishu za kikanisa zinazingua so najikuta tuu na hangaika kiasi ambacho i wish nisingekua na hisia za mapenzi nitulie kabisaa, tatizo siwezi maliza wiki bila kudinya naskia msongo wa mawazoIla tangu umeachwa unazingua mno, ni kama haupo sawa
Na hichi ndicho nilichokua nahisi, nataka nijue ni aina gani ya kitu alitumiaWanawake wanaweza kuweka vitu ndani ya huko mkutane na mengi.