Maleven
JF-Expert Member
- Sep 8, 2019
- 627
- 2,797
Hili suala nilikua nalisikia tu lakini sasa niko asilimia nyingi kuamini kua kuna wanawake ukiwanao au ukikutana nao wanakua na bahati sana.
Kuna mdada kila tukikutana baada ya hapo nitapata habari njema, nashangaa sana.
Ni kweli haya mambo yapo au ni coincidence tu?
Kuna mdada kila tukikutana baada ya hapo nitapata habari njema, nashangaa sana.
Ni kweli haya mambo yapo au ni coincidence tu?