William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Mkulu PM,
Heshima mbele, serikali yetu ina matatizo mengi sana, na mazuri mengi pia, lakini hili la kukopa ni la kawaida hata US sasa hivi wanakopa ku-facilitate vita vya Iraq, deficit kwa kwenye hazina ya nchi yetu sio kitu cha ajabu,
so far ni rais mmoja tu duniani aliyeweza kulishinda hilo naye ni Clinton, ambaye akiwa rais wa US, alii-balance kwanza budget, na wakati anaondoka aliacha surplus, hakuna rais mwingine tena aliyeliweza hilo,
Hii topic inapaswa kuwa about deficit kwenye budget yetu, na kama tunavyoelewa kikao cha bajeti, nia na madhumuni yake huwa ni ku-project, yaani kukadiria meaning kwamba huwa wanatabiri, wote tunajua maana ya neno utabiri wa makisio ya matumizi ya pesa kwa serikali,
sasa check this out, utabiri wa hali ya hewa tu unatushinda je tutaweza wa bajeti?
Heshima mbele, serikali yetu ina matatizo mengi sana, na mazuri mengi pia, lakini hili la kukopa ni la kawaida hata US sasa hivi wanakopa ku-facilitate vita vya Iraq, deficit kwa kwenye hazina ya nchi yetu sio kitu cha ajabu,
so far ni rais mmoja tu duniani aliyeweza kulishinda hilo naye ni Clinton, ambaye akiwa rais wa US, alii-balance kwanza budget, na wakati anaondoka aliacha surplus, hakuna rais mwingine tena aliyeliweza hilo,
Hii topic inapaswa kuwa about deficit kwenye budget yetu, na kama tunavyoelewa kikao cha bajeti, nia na madhumuni yake huwa ni ku-project, yaani kukadiria meaning kwamba huwa wanatabiri, wote tunajua maana ya neno utabiri wa makisio ya matumizi ya pesa kwa serikali,
sasa check this out, utabiri wa hali ya hewa tu unatushinda je tutaweza wa bajeti?