Nimetazama Taarifa ya Habari leo asubuhi ITV kuhusu Mkoa wa Mtwara kufaulu vizuri katika mtihani wa darasa la saba mwaka huu Moja ya sababu zilizosaidia ufaulu huo ni change ya rada. Ni kweli change hiyo imeelekezwa katika shule zetu? Wadau nijuzeni nami nijue