georgeallen
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 4,118
- 1,870
Hii ya serikali kuishiwa mbona siyo habari mpya wakuu. Zito kabwe alilisema hili mwaka jana sijui mwaka juzi lakini mkuu wa pesa akakanusha na kumwita siyo mzalendo. Mimi hadi leo 14/2/2012 mshahara wa december 2011 sijauona. Serikali nyeupe hii!!!!