ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,580
- 44,826
Nimekaa na dada mmoja mrembo safarini kwenye seat ya bus amejichubua, ila kama ilivyo ada vidole vya miguuni na mikononi bado vyeusi.
Sasa shida huwa ni nini eneo hilo la ngozi kuendelea kuwa peusi?
Sasa shida huwa ni nini eneo hilo la ngozi kuendelea kuwa peusi?