Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 5,509
- 4,819
Nimwagie maua usoni pleeeeeaseeeeUmeongea fact upewe maua
Thanks for the compliments chap
Stay blessed ,amen
#DoNotDoHarm
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Nimwagie maua usoni pleeeeeaseeeeUmeongea fact upewe maua
Huyo alpha blond unamlinganisha na nan? Jamaa ana pesa pia ni maarufu kama huna pesa ya kutosha huwezi kuwapata huwa wanataka wakutumie na kamwe hawezi kuzaa na mtu mweusi wabaguzi mno hao.Kuna ndoa kibao za Weusi na waarabu, tatizo mila zetu na zenu ni tofauti. Kwetu ndoa sio matangazo ya TV kila mtu ajue.
Juzi tu Alpha Blond kaoa Mwarabu.
View attachment 2656004
Wewe muislam wa wapi acha uzumbukuku wako,ccm na chadema tu hapo mitaa ya Lumumba na ufipa ni majirani lkn mnabaguana kiasi Cha Mungu kawalaani nyote. Halafu unataka mwarabu wa makka akupende wewe mwafrika wa Kwa msisiSipo kuichafua Dini yangu ila hawa Jamaa ni next level.... niliingiaga Msikiti wao kwa kweli nilipata tabu sana... kukaa Mstari mmoja na Mtu mweusi kwao hawataki na ukikaa nao utaona wanavyosegea na kuacha nafasi kubwa kati yao na wewe.... wakiingia Msikitini wote wewe ukija wakikuona kufunga Mlango si jambo la kushangaa
we gonga sepa chana na mambo ya ndoaKwa wazungu ndoa za waafrika na wazungu zipo nyingi tu, ni kawaida.
Shida inakuja kwa kina waarabu, yani hata uwe muislam uliekariri aya nyingi za korani na sauti nzuri ya kuzinukuu hawawezi kukupa binti yao labda kama utaweza kutumika kimaslaho aidha uwe na cheo kikubwa ama uwe na pesa nyingi sana...
Na hapa navomaanisha waafrika ni hadi wazanzibari ambao hufanana na wasomali, hali ni hivyo hivyo tu, japo wao hupenda kujiweka kundi moja na waarabu ila waarabu huwatolea nje.
Wewe muislam wa wapi acha uzumbukuku wako,ccm na chadema tu hapo mitaa ya Lumumba na ufipa ni majirani lkn mnabaguana kiasi Cha Mungu kawalaani nyote. Halafu unataka mwarabu wa makka akupende wewe mwafrika wa Kwa msisi
Hakuna ambaye alizaliwa na Utajiri. Kuna ambao walikuja zaliwa wakaukuta UtajiriSasa kuna mwanamke anayetaka lofa wa kipato?!!Yuko wapi ?!!! Atakua ana mapungufu huyo na si mzuri wa sura na wajihi na ni masikini wa kipato
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Facts ...Hakuna ambaye alizaliwa na Utajiri. Kuna ambao walikuja zaliwa wakaukuta Utajiri
🪓🪓🪓Sipo kuichafua Dini yangu ila hawa Jamaa ni next level.... niliingiaga Msikiti wao kwa kweli nilipata tabu sana... kukaa Mstari mmoja na Mtu mweusi kwao hawataki na ukikaa nao utaona wanavyosegea na kuacha nafasi kubwa kati yao na wewe.... wakiingia Msikitini wote wewe ukija wakikuona kufunga Mlango si jambo la kushangaa
Hahah wewe ni mwalabu sio muarabuKuna ndoa kibao za Weusi na waarabu, tatizo mila zetu na zenu ni tofauti. Kwetu ndoa sio matangazo ya TV kila mtu ajue.
Juzi tu Alpha Blond kaoa Mwarabu.
View attachment 2656004
Nilikwenda kuna nyumba kufata mzigo wangu wale wafanyakazi weusi hawakutaka kunifungulia mlango. Alikuja mtu nae akaingia ndani ya geti nami nikaingia pia wale wafanyakazi walikuwa wakiniangalia kama mwizi😂. Kutokea mwenyewe kuniona tu alikuja kunikumbatia na kupiga nae stori huyu Mama kama mzee wangu alikuwa.Waafrika sisi ni wabaguzi kuliko Hawa ngozi nyeupe amini kwamba hamna anayetuzidi Kwa ubaguzi.
Kweli....Angekuwa muislam lazima angeficha maovu ya waarabu na kuwasifia kwa kila kitu kama tulivyofundishwa madrasaWewe siyo Muislamu.
Ni kweli mi Nisha experience hiyo kitu unaeza enda pahali unamsubiri mtu labda ofisini ama Hotel ukaamuwa ngoja nikae hapa nimsubiri na kuna wazungu ama waarabu wamekaa eneo lile,Ila utashangaa mlinzi black mwenzio anakuja kukufukuza wewe anawaacha wale wengine.Sisi waafrica ni wabaguzi sana sema tunataka huruma tu.Nilikwenda kuna nyumba kufata mzigo wangu wale wafanyakazi weusi hawakutaka kunifungulia mlango. Alikuja mtu nae akaingia ndani ya geti nami nikaingia pia wale wafanyakazi walikuwa wakiniangalia kama mwizi. Kutokea mwenyewe kuniona tu alikuja kunikumbatia na kupiga nae stori huyu Mama kama mzee wangu alikuwa...
Ila sishangai....unajua ukitaka kitu ukiongezee thamani kiwe mysterious in any way....na ndio maana dhahabu ikawa na thamani kwa kuwa kuipata kwake ni tabu....dhahabu huamsha mapenzi nayo na chuki pia kwa sababu ya kutoipata.Wanaume bwana! Kwahiyo chuki yenu kwa Waarabu sababu yake ni kushindwa kuoa wanawake wa Kiarabu?
Mkikubaliwa kuwaoa chuki itaisha? Hamtajali tena mkikaliwa nao si ndio?
Vipaumbele vyenu vinatia shaka sana na mnatia aibu.
Ili wakukubalie kwanza uwe na PESA, uwe maarufu sana , uwe na power Fulani. Ronaldo ni mkatoliki ila kule SAUDI wanamnyenyekea Ile mbaya
Bonge la POINT....Ni kweli mi Nisha experience hiyo kitu unaeza enda pahali unamsubiri mtu labda ofisini ama Hotel ukaamuwa ngoja nikae hapa nimsubiri na kuna wazungu ama waarabu wamekaa eneo lile,Ila utashangaa mlinzi black mwenzio anakuja kukufukuza wewe anawaacha wale wengine.Sisi waafrica ni wabaguzi sana sema tunataka huruma tu.
Ungese huo....Kweli....Angekuwa muislam lazima angeficha maovu ya waarabu na kuwasifia kwa kila kitu kama tulivyofundishwa madrasa
Waarabu ni wabaguzi ndio maana huwapa wenzetu tende, haluwa na uji wa pilipili manga ili kuwaslimisha badala ya kuwajengea shule, vyuo vya ufundi na mahospitali km wazungu Wakristo.