SMU
JF-Expert Member
- Feb 14, 2008
- 9,616
- 7,863
Mara nyingi uhusiano kati ya mawifi (mke na dada wa mume) unakuwa na walakini (hawapatani, hawapendani). Inaweza kuwa mke hawapendi dada wa mumewe au dada hawampendi mke wa kaka yao.
Athari za mahusiano haya kuwa mabaya mara nyingine huweza kuleta madhara makubwa kwenye ndoa. Kwa uzoefu wangu naweza kuthubutu kusema kati ya relationships kumi za mawifi basi zaidi ya tano mawifi 'hawaivi'.
1.Je unadhani ni nini hasa chanzo cha mahusiano haya kuwa na mushkeli? Je ni mke au dada wa mume?
2. Je mwanaume anachangia kwa kiasi gani kufanya uhusiano huo kuwa m'baya?
3. Je hili ni tatizo la sisi waafrika tu au hata wengine wanalo? Kama na wengine wanalo, je inawezekana kwamba ni kwa asili tu mawifi hawapatani?
Athari za mahusiano haya kuwa mabaya mara nyingine huweza kuleta madhara makubwa kwenye ndoa. Kwa uzoefu wangu naweza kuthubutu kusema kati ya relationships kumi za mawifi basi zaidi ya tano mawifi 'hawaivi'.
1.Je unadhani ni nini hasa chanzo cha mahusiano haya kuwa na mushkeli? Je ni mke au dada wa mume?
2. Je mwanaume anachangia kwa kiasi gani kufanya uhusiano huo kuwa m'baya?
3. Je hili ni tatizo la sisi waafrika tu au hata wengine wanalo? Kama na wengine wanalo, je inawezekana kwamba ni kwa asili tu mawifi hawapatani?
Last edited: