Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 879
- 4,124
Kuna vitu vinatafakarisha. Viongozi wa kisiasa wanatumia magari ya mamilioni na hakuna aliye tayari baada ya kupewa ofisi atumie bajaji wala pikipiki.
Leo kuna mtu anaacha V8 na kupanda bajaji kuingia ofisini. Je, haya ndiyo maisha yake?
Kama siyo maisha yake anafanya kwa manufaa ya nani?
Akiwa kwenye majukumu binafsi anatumia pikipiki au ni kwa ajili ya kupigia picha?
Huu ukoloni wa fikra.
Leo kuna mtu anaacha V8 na kupanda bajaji kuingia ofisini. Je, haya ndiyo maisha yake?
Kama siyo maisha yake anafanya kwa manufaa ya nani?
Akiwa kwenye majukumu binafsi anatumia pikipiki au ni kwa ajili ya kupigia picha?
Huu ukoloni wa fikra.