Ni jinsi gani ya kumtongoza huyu wakati kila siku tunakutana eneo lake la biashara?

P.hunter

Member
Nov 16, 2015
74
27
Kama kichwa kinavyo jieleza uku mtaani kuna mtoto nimetokea kumuelewa sana yani ni mwaka sasa kila siku nasema tu ntamfuata kesho.

Kinachofanya nishindwe kumfuata ni kwamba muda mwingi yupo sehemu ya biashara kwahiyo naona kama itakua si vyema kumfuata pale.

Juzi kati wakati napiga story na rafiki yangu nikamuelezea hali halisi kuhusu huyo dada kumbe kesho yake akamfuata bila kuniambia akamueleza yote kuhusu mimi akamuomba na namba yake ya simu.

Yule dada akamjibu kuwa "aje achukue mwenyewe"; yaani mimi ndo nikachukue namba sasa nachowaza hiyo leo nikienda pale nianzaje anzaje kuongea nae maana ile ni sehemu ya biashara (yupo kwenye duka la nguo).

Yaani sijui niingie na gia ipi, inshort mimi ni domo zege wapenzi wangu huwa nawapata kimazabe tu ila huyu kanikamata sana.

Nisaidieni mistari wadau ili nisiaibike, nataka niende
 
Nenda pale mwambie dada mambo sorry!tunaeza fahamiana,naitwa domozege unaitwa nani vile hapo lazima akujibu huku anang'ata kucha mwambie nashukuru kukufahamu naomba tuwe marafiki au co hapo haezi chomoa coz ni urafiki tu usiombe namba muage kesho yake nenda kapige nae stori mbili tatu afu mwambie na suala la namba coz ni vizuri nikawa na namba yako c eti rafiki angu siku ya tatu nenda tena kamtie saundi hivi "yani navutiwa sana na wewe ningependa uwe mpenzi wangu ka hutojali" hapo akichomoa kaoge baharini au msubiri badae kwenye txt atakujibu sawa ila usiniumize
 
Jipeleke uone
FB_IMG_1510842602982.jpeg
 
Mbona ni rahis sana mkuu first of all jiamin as man then anzisha ukaribu nae wa mawasiliano pia kumbuka madem wanapenda men wanaojiamini mkuu
 
Kwanza kabisa jiamini ukifika msalimie halafu kama unalijua jina lake
Unaanza kwa kumtaja jina lake unamsifia mashaallah kishtobe MUNGU
amekujaalia kila kitu isipokua umekosa kitu kimoja tu.
Kwa shauku atakuuliza kitu gani hicho sina?
Unatabasamu kidogo halafu unamjibu umejaaliwa vyote isipokua namba yng
tu ya simu ndio hauna.
Hapo lazima acheke mpk jino la mwisho ulione halafu taratibu mnabadilishana
contact zenu.
 
Kwanza kabisa jiamini ukifika msalimie halafu kama unalijua jina lake
Unaanza kwa kumtaja jina lake unamsifia mashaallah kishtobe MUNGU
amekujaalia kila kitu isipokua umekosa kitu kimoja tu.
Kwa shauku atakuuliza kitu gani hicho sina?
Unatabasamu kidogo halafu unamjibu umejaaliwa vyote isipokua namba yng
tu ya simu ndio hauna.
Hapo lazima acheke mpk jino la mwisho ulione halafu taratibu mnabadilishana
contact zenu.
Nimeipenda hii rafiq
 
Kama kichwa kinavyo jieleza..Uku mtaani kuna mtoto nimetokea kumuelewa sana yani ni mwaka sasa kila siku nasema tu ntamfuata kesho.

Kinachofanya nishindwe kumfuata ni kwamba muda mwingi yupo sehem ya biashara kwahiyo naona kama itakua si vyema kumfuata pale.

Juzi kati wakati napiga story na rafiki yangu nikamuelezea hali halisi kuhusu huyo dada kumbe kesho yake akamfuata bila kuniambia akamueleza yote kuhusu mimi akamuomba na namba yake ya simu.

Yule dada akamjibu kuwa "aje achukue mwenyewe"; yaani mimi ndo nikachukue namba.

Sasa nachowaza hiyo leo nikienda pale nianzaje anzaje kuongea nae maana ile ni sehemu ya biashara (yupo kwenye duka la nguo).

Yaani sijui niingie na gia ipi, inshort mimi ni domo zege. Wapenzi wangu huwa nawapata kimazabe tu ila huyu kanikamata sana.

Nisaidieni mistari wadau ili nisiaibike, nataka niende
Pole sana mkuu. Kuwa na desturi ya kusoma sana vitabu nadhani itakusaidia kuongeza na kuondoa Hofu/Kutojiamini ndani ya Ubongo wako. Domo zenge ni hali ya kuwa na hofu juu ya jambo fulani. Kukubaliwa na kukutaliwa yote ni majibu unatakiwa uwe tayar kwa lolote.
 
Kwanza kabisa jiamini ukifika msalimie halafu kama unalijua jina lake
Unaanza kwa kumtaja jina lake unamsifia mashaallah kishtobe MUNGU
amekujaalia kila kitu isipokua umekosa kitu kimoja tu.
Kwa shauku atakuuliza kitu gani hicho sina?
Unatabasamu kidogo halafu unamjibu umejaaliwa vyote isipokua namba yng
tu ya simu ndio hauna.
Hapo lazima acheke mpk jino la mwisho ulione halafu taratibu mnabadilishana
contact zenu.
Charming and dramas...na ukitaka asipge mizinga tumia future projection method
 
Nenda pale mwambie dada mambo sorry!tunaeza fahamiana,naitwa domozege unaitwa nani vile hapo lazima akujibu huku anang'ata kucha mwambie nashukuru kukufahamu naomba tuwe marafiki au co hapo haezi chomoa coz ni urafiki tu usiombe namba muage kesho yake nenda kapige nae stori mbili tatu afu mwambie na suala la namba coz ni vizuri nikawa na namba yako c eti rafiki angu siku ya tatu nenda tena kamtie saundi hivi "yani navutiwa sana na wewe ningependa uwe mpenzi wangu ka hutojali" hapo akichomoa kaoge baharini au msubiri badae kwenye txt atakujibu sawa ila usiniumize
Hiz porojo tu toa ofa no ataleta mwenyew.
 
Back
Top Bottom