Ni jimbo gani nchini marekani linakaliwa na watanzania wengi?

kwa elimu yako ya vifuniko vya soda , ni ngumu kuelewa
Yaani wewe ulivyokuwa mtumwa wa Kiingereza upo radhi kukana Uchagga wako, wewe ukiona mtu kaongea lugha ya Kiingereza unaona ni msomi siku ukifika Uingereza utasema Uingereza nzima ni wasomi watupu mpaka watoto wadogo!! Teh teh teh teh
 
Yaani wewe ulivyokuwa mtumwa wa Kiingereza upo radhi kukana Uchagga wako, wewe ukiona mtu kaongea lugha ya Kiingereza unaona ni msomi siku ukifika Uingereza utasema Uingereza nzima ni wasomi watupu mpaka watoto wadogo!! Teh teh teh teh

hujui hujui tuu ..... impromptu analysis ..... again ignominy and disgraced mindset
 
hujui hujui tuu ..... impromptu analysis ..... again ignominy and disgraced mindset
LATIFA, stop! Acha bana kiingereza ujui, tumia Kichagga tu ndio lugha yako
 
LATIFA, stop! Acha bana kiingereza ujui, tumia Kichagga tu ndio lugha yako

kuwa kilaza ni kosa ulilojitakia mwenyewe .... and it will scroll your soul all day long ..... garbage will always come out of your mouth
 
nadhani jimbo la nkwaranga, na kishumundu...hahaaaaa,,,have fun guys..nyie nnaobishania lugha bwana inabid tuanzishe sredi za luga english vs swahil
 
<br />
<br />
Ukitegemea kwa obama akuna ishu maujanja tunayoyapiga huku tungekuwa bongo ni mabilget basi tu tumezoea kuish ugenini.
Maskini mtu kwao, ugeni si kitu chema..............hakuna anayezoea kuishi ugenini. ni shida tu kiongozi. We mwenzetu unawezaje kuzoea ugenini???
 
Nije kufanya nn marekani upuuzi mkubwa,safari zangu ni asia tu,hata nikitaka kumwona rihanna ntamwona japan,marekani nchi ya wanafiki
 
Bandugu! Vaccation ni nini msaada jamani

Hahaha, watu wamePalin neno jipya.

Mimi nafikiri hii ni vacation inayohitaji kufanyiwa vaccination kwanza kabla ya kusafiri, hence "vaccation" = vacation + vaccination.

Uuuuuuuwiii, JF mwisho!!!

On the main question, huwezi kupata jibu la uhakika hata ukiuliza ubalozini.

But I would bet Texas, closely followed by Ohio, the Capital, Jersey and Massachussetts in that order.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Ukitegemea kwa obama akuna ishu maujanja tunayoyapiga huku tungekuwa bongo ni mabilget basi tu tumezoea kuish ugenini.
<br />
<br />

Mkuu mi nawatakieni kila lakheri wote mlioko ughaibuni sawa na vile navowatakia kheri tupu wote tuliobaki hapa bongo. Maisha ni popote. Najua wazi tofauti zilizotokea hapa katika hii thread ni za kidebate zaidi (kama inavokua katika threads nyinginea) na wala si za watu kudharauliana.
 
Carlifonia

Thubutuuuuuu!!!!! Wana hela hadi waende kukaa Carlifonia???? Wamejazana Texas maana ndo mji Rahis zaidi kuishi na kuna joto walau kuliko majimbo Mengine. New York wapo wachache sana akkila William Malecela na Washington DC wanaonekana wengi kutokana na kuwepo kwa ubalozi wa Tanzania na sehemu chacche kama VOA ambako nuna wabongo kiasi. But Ukweli TEXAS wamejaa tele na sio watanzania tu, bali waafrika wengi!!!!!
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
<br />
Mkuu mi nawatakieni kila lakheri wote mlioko ughaibuni sawa na vile navowatakia kheri tupu wote tuliobaki hapa bongo. Maisha ni popote. Najua wazi tofauti zilizotokea hapa katika hii thread ni za kidebate zaidi (kama inavokua katika threads nyinginea) na wala si za watu kudharauliana.
<br />
<br />
I aplct u but muda mchache nitakuwa home buguruni kwa mapumziko ya siku 52
 
Mkuu usihadaike na video za kina 50 cents, unaliweza box mkuu? kama unapata pesa Bongo kwa longo longo tulia hapo hapo, ukitaka kuingia USA iwe ni kwa ajili ya vaccation.



hahahahaha dah usimtishe mwana,,,,box zinabebeka tu
 
Hakuna namba kamili, ila Mid-West wako wengi, i kifuatiwa na Central US, na mwisho eastern. Si wote wabebao mabox, ingawa ni quick job ya kupatia subway na motel room. Zingatia kama umeingia nchi ya ugenini bila pesa, huna elimu na usomi, huna vibali vya kazi unaishi kininja, then huna option ila ni kula kilicho karibu nawe; Kuna watanzania wengi tu wanafanya kazi nzuri sana, si wote wanabeba mabox. Kumbuka kuwa huku hakuna mikato ya rushwa kwa kazi za kitaaluma kama za bandarini, polisi, ardhi na mahakamani. Wale wanao ona Ugenini pabaya, ni kweli kama anayo mwanya wa kuiba, lakini aliye nje anakula jasho lake si wizi wala kubebwa na mjomba ni ujuzi wako. Ushauri wangu; Njoo Marekani na ujuzi wako (uwe mzuri katika ujuzi wako) na uwe na kibali, maisha safi kabisa, Njoo na mtaji na anzisha kibiashara, kwanini tutegemee kuajiriwa tu? Kikubwa tunachokosa watanzania ni kimoja tunategemea mtu akiwa marekani basi atapata pesa haraka haraka kama zinazoptaikana na kuibibiwa walala hoi pale long room na wafanyakazi wa TRA/clearance), ukija na mtaji wa kutosha ukaanzisha bisahara ndogo tu, utaona tofauti kubwa sana. Wale waliozamia bila vibali na wanayo elimu nawashauri oa/olewa kweli kweli, maisha yamenyooka within 2 years. Kama huna Elimu hata ukioa/kuolewa still utakuwa chini. Ugenini kuzuri na kutamu. Lastly invest in future, childrean, learn forward - OBAMA example
Mfano Siwezi kulipwa TSHS 15 000 000 kwa mwezi na kampuni yoyote Tanzania kama mfanyakazi wa kawaida tu, lakini naweza kulipwa hiyo pesa ugenini bila kuiba; ingawa maisha yako juu; but still it make sense unpata reward kwa thamani yako.
 
Back
Top Bottom