Ni jimbo gani nchini marekani linakaliwa na watanzania wengi?

Mkuu usihadaike na video za kina 50 cents, unaliweza box mkuu? kama unapata pesa Bongo kwa longo longo tulia hapo hapo, ukitaka kuingia USA iwe ni kwa ajili ya vaccation.
Wewe si ndio umekejeli mtu kwamba anabaki Tanzania kama sanamu badala ya kwenda Marekani kupata exposure, kumbe exposure yenyewe kubeba maboxsi? We mwenye exposure nikuulize, "vaccation" ndio nini?

Tembeeni jamani mpate exposure sio umeganda tu Dar es salaam kama sanamu.
 
Kama kitu huwelewi ni afadhali ukae kimya uache wanaofahamu wachangie, sio lazima uchangie kila kitu, Texas ndio jimbo wewe ulitaka asemeje? au unavyosoma kwenye magazeti Houston na San Antonio unadhani haya ni majimbo?
Tembeeni jamani mpate exposure sio umeganda tu Dar es salaam kama sanamu.
Wakati mwingine unatakiwa ujifunze kuliko kuandika utumbo, kwenye hii thread topic ni jimbo gani nchini Marekani linakaliwa na watanzania wengi? Jamaa kajibu Texas mimi nikamuuliza Texas sehemu gani Texas kubwa, ukafyatuka kunijibu usichokijua.
Texas, is the second largest U.S. State by both area and population, and largest in the contiguous united states, kuna watu zaidi ya 25.milioni na kuna miji mingi tu kama vile Dallas, Austin, Houston, Louisiana, Oklahoma, Arkansas. San Antonio na mingine mingi.
Ndio nilitaka kujua hao watanzania wanakaa wapi? ndio msingi wa swali langu
 
Uwezi kuja JF, ukawaambia watu kuwa Jimbo ambalo wanakaa Watanzania wengi ni Texas unatoa takwimu zako za watu 2108 bila facts zozote watu wakubali tu! Haiwezekani lazima uje na data za kutosha.
Mfano mimi navyojua na nimeona na data zipo wazi Texas ni jimbo ambalo kuna wasipanish wengi kuzidi majimbo yote ya Marekani. Texas lugha zinazotumika pale Engilish 68.7% na Spanish 27.% data zipo wazi sio kuja JF, kuleta porojo
 
Wakati mwingine unatakiwa ujifunze kuliko kuandika utumbo, kwenye hii thread topic ni jimbo gani nchini Marekani linakaliwa na watanzania wengi? Jamaa kajibu Texas mimi nikamuuliza Texas sehemu gani Texas kubwa, ukafyatuka kunijibu usichokijua.
Texas, is the second largest U.S. State by both area and population, and largest in the contiguous united states, kuna watu zaidi ya 25.milioni na kuna miji mingi tu kama vile Dallas, Austin, Houston, Louisiana, Oklahoma, Arkansas. San Antonio na mingine mingi.
Ndio nilitaka kujua hao watanzania wanakaa wapi? ndio msingi wa swali langu
Kujifunza kwa kwenda Google na kufika mwenyewe lipi bora? swali la msingi ni Jimbo gani na sio sehemu gani ya Texas, kumbe haya mambo yenu ya kugoogle ndio silaha yenu ya ubishani hapa JF? now i know.
 
Mkuu usihadaike na video za kina 50 cents, unaliweza box mkuu? kama unapata pesa Bongo kwa longo longo tulia hapo hapo, ukitaka kuingia USA iwe ni kwa ajili ya vaccation.
Bandugu! Vaccation ni nini msaada jamani
 
Wewe si ndio umekejeli mtu kwamba anabaki Tanzania kama sanamu badala ya kwenda Marekani kupata exposure, kumbe exposure yenyewe kubeba maboxsi? We mwenye exposure nikuulize, "vaccation" ndio nini?
Unajuwa kila kitu nilichokiandika ila najuwa unachokitafuta ni nini,..........
Hakuna mtu asiyejuwa ni nini maana ya kupiga box,
Exposure haipatikani tu kwa mtu kwenda kwenda kwenye nchi nyingine na kufanya kazi, unaweza kwenda kwa matembezi/ mapumziko, honeymoon n:k
Kuna ubaya wowote kumjulisha mtu kwamba kwenye nchi hizo maisha sio rahisi kama ambavyo wengine wanafikiri? na kuna ubaya gani kumwambia mtu kama Bongo anaingiza kipato fulani cha kulizisha Bongo ni sehemu nzuri zaidi ya kuishi?
Mwisho tuna jukwaa la lugha karibu sana kule utufundishe lugha maana wewe mwenzetu ni mungu hujui typing error.
View attachment 36505
 
Kweli itakuweka huru, ipo siku utafika tu hata kwa matembezi, hakuna maajabu yanayofanyika kufika nchi unayopenda siku moja angalau uitembelee.
<br />
<br />
nashukuru kwa dua zako. Natamani sana nije kufanya Master's huko.
 
ni hapa texas tupo 2108 pamoja na wale ambao wamezaliwa na seminationalty
Mkuu, hizo data za watu 2108 umezipata wapi? Tunaomba ubandike hizo facts zako jamvini JF, sio sehemu ya porojo
 
Kama kitu huwelewi ni afadhali ukae kimya uache wanaofahamu wachangie, sio lazima uchangie kila kitu, Texas ndio jimbo wewe ulitaka asemeje? au unavyosoma kwenye magazeti Houston na San Antonio unadhani haya ni majimbo?<br />
Tembeeni jamani mpate exposure sio umeganda tu Dar es salaam kama sanamu.
<br />
<br />
Mkuu! Ulianza vema ila umemalizia kwa tabu kidogo kwa wenye busara zao.
 
Mkuu, hizo data za watu 2108 umezipata wapi? Tunaomba ubandike hizo facts zako jamvini JF, sio sehemu ya porojo
Hizo Data huwezi kuzipata Google hata siku moja, kama wewe unategemea Google kwa kila kitu pole sana, Watanzania wenyewe wanajifahamu Idadi yao kutokana na jumuiya zao kwenye Majimbo husika na kwa kupitia ubalozi, ila isipokuwa kwa wale ambao hawana mpango na mtu wapo kivyao vyao tu. sasa unaposema porojo wakati wewe hata hujui Dar es salaam ina wakazi wangapi hizi ni kejeri ambazo hazina msingi wowote.
 
Texas sehemu gani? Texas kubwa
<br />
<br />
Sasa muuliza swali ameuliza jimbo gani we unataka niainishe miji hapa sijui hawa watu wa takwimu wamehesabu kwa miji au ni texas yote sisi hapa katika kitongoji ambacho tangu uzaliwe ujawahi kufika wala kusikia monroeville tupo waafrika 217 yani wanaija,somalia,tz,sa,tunisia,kenya,sudan,comoro sasa ukitaka tuweke list ya miji sio swali la msingi mkuu njoo huku nikupe kazi ya kupanda na kuvuna maua kwa mcanada
 
Unajuwa kila kitu nilichokiandika ila najuwa unachokitafuta ni nini,..........
Hakuna mtu asiyejuwa ni nini maana ya kupiga box,
Exposure haipatikani tu kwa mtu kwenda kwenda kwenye nchi nyingine na kufanya kazi, unaweza kwenda kwa matembezi/ mapumziko, honeymoon n:k
Kuna ubaya wowote kumjulisha mtu kwamba kwenye nchi hizo maisha sio rahisi kama ambavyo wengine wanafikiri? na kuna ubaya gani kumwambia mtu kama Bongo anaingiza kipato fulani cha kulizisha Bongo ni sehemu nzuri zaidi ya kuishi?
Mwisho tuna jukwaa la lugha karibu sana kule utufundishe lugha maana wewe mwenzetu ni mungu hujui typing error.
View attachment 36505
Umekashifu waliobaki Tanzania wamekaa kama sanamu, hawana exposure, as if huko Marekani ni mbingu ya tisa, halafu ukajitangazia kwamba mnabeba maboxsi. Khaa...! Yani mnapata exposure ya kubeba maboxsi? Unatoa kashfa kwa ambao hawajaenda Marekani kumbe unabeba maboxsi?
 
<br />
<br />
Sasa muuliza swali ameuliza jimbo gani we unataka niainishe miji hapa sijui hawa watu wa takwimu wamehesabu kwa miji au ni texas yote sisi hapa katika kitongoji ambacho tangu uzaliwe ujawahi kufika wala kusikia monroeville tupo waafrika 217 yani wanaija,somalia,tz,sa,tunisia,kenya,sudan,comoro sasa ukitaka tuweke list ya miji sio swali la msingi mkuu njoo huku nikupe kazi ya kupanda na kuvuna maua kwa mcanada
Utakuwa umefanya jambo la maana sana, na ninaahidi kumpa ticket ya bure kutoka kwenye milleage zangu za Swiiss International, maana angalau atakuwa busy.
 
Umekashifu waliobaki Tanzania wamekaa kama sanamu, hawana exposure, as if huko Marekani ni mbingu ya tisa, halafu ukajitangazia kwamba mnabeba maboxsi. Khaa...! Yani mnapata exposure ya kubeba maboxsi? Unatoa kashfa kwa ambao hawajaenda Marekani kumbe unabeba maboxsi?
Kijana ifikie mahali ukubali kukuwa, kupiga box ni msemo tu uliozoeleka wapo watu wakila aina ya Fani kutoka Tanzania na wanafanya kazi za fani zao.
Hapa nadhani Ngoja Nimuachie Nyani Ngabu akishaamka ndio mtawezana.
 
Back
Top Bottom