...kigamboni dar es salaama hapa hakuna ulaya, ulaya ulaya...wimbo by Joni woka..
Kama kitu huwelewi ni afadhali ukae kimya uache wanaofahamu wachangie, sio lazima uchangie kila kitu, Texas ndio jimbo wewe ulitaka asemeje? au unavyosoma kwenye magazeti Houston na San Antonio unadhani haya ni majimbo?
Tembeeni jamani mpate exposure sio umeganda tu Dar es salaam kama sanamu.
<br />
<br />
nashukuru kwa dua zako. Natamani sana nije kufanya Master's huko.
Kijana ukisukuma nondo na wewe ukubali kupokea nondo!
Wewe si umeniambia unataka kunipa kazi ya kupanda maua na kuvuna kwa mcanada. Ilo ndio jibu lake nakushauri kama roho yako ndogo usivamie mijadala kama hii haya ndio maisha ya JF, Karibu sana utazoea tu, kuna majukwaa mengi ya kutembelea
sio lazima afike Marekani ndio awe na exposure kaka,hapo hapo States kuna watu hawajui majimbo mengine zaidi ya jimbo analokaaKama kitu huwelewi ni afadhali ukae kimya uache wanaofahamu wachangie, sio lazima uchangie kila kitu, Texas ndio jimbo wewe ulitaka asemeje? au unavyosoma kwenye magazeti Houston na San Antonio unadhani haya ni majimbo?
Tembeeni jamani mpate exposure sio umeganda tu Dar es salaam kama sanamu.
Naona umeamua kumsemea au sijui ndio mambo ya Multiple ID's nakuomba upitie tena sheria na kanuni za JF, uzisome kwa makini sana. baadhi ya kanuni za JF, ukianzisha thread aukipost kitu ili habari yako iwe na uzito lazima uweke chanzo kama aielewiki utaikuta kwenye majukwa mengine kama vile Chit Chat au jukwaa la jokes, gossip kama mnajuana wenyewe kwa nini mnaileta hii habari JF, pelekeni kule FB. kwanza Mods toa hii porojo peleka Jokes and gossip
Of course north dakota ni jimbo limepakana na kanadaUmemuona wa North Dakota?