GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,277
- 6,673
Habari zenu wana JF, Naomba kuwaulizeni, iwapo umemfumania mkeo/ mumeo na ni mara ya kwanza ni hatua gani nzuri unatakiwa kuichukua. Ni kupokea fidia kutoka kwa MGONI kisha maisha yaende kama kawaida, kuwasamehe wote wawili, kuvunja uhusiano? Au hatua ipi unaona inafaa?
Binafsi upande wangu ndoa inakuwa imefia hapo. Nawasilisha!
Binafsi upande wangu ndoa inakuwa imefia hapo. Nawasilisha!