Kama ujitumi katika mambo mbalimbali, zaidi kwenye sita kwa sita ni mgogoro mkubwa. Sometimes maumbile yanaweza sababisha. Mfano wwanawake wanapenda kuzibwa na kuchokonolewa ndani, kama mtambo ni mwembamba na mfupi ni kama unamwekea kidole.
Ni mtazamo tu - usijenge chuki, sijaongea nime type.pweeehh, umeongea madudud matupu.
Habari zenu wana JF, Naomba kuwaulizeni, iwapo umemfumania mkeo/ mumeo na ni mara ya kwanza ni hatua gani nzuri unatakiwa kuichukua. Ni kupokea fidia kutoka kwa MGONI kisha maisha yaende kama kawaida, kuwasamehe wote wawili, kuvunja uhusiano? Au hatua ipi unaona inafaa?
Binafsi upande wangu ndoa inakuwa imefia hapo. Nawasilisha!
Mkuu sasa ikiwa hatua umeshaijua ya nini kuuliza? kila mtu anajua hatua yake na haiwezi kubadili hatua yako utakayoichukua.
Nahisi ni vizuri kuwa na maandalizi mapema iwapo itatokea ujue jinsi ya kutatua. Inapendeza uwe na Rules zako kwamba nikikufumania nakuacha au .... au mpaka nikufumanie mara mbili....... Kuna watu wanafumania mpaka mara saba wako kimya tu!Fumanizi alina maandalizi. Waweza kujiandaa kutoa kichapo ukafika eneo la tukio ukaangua kilio badala ya kutembeza kipigo. Kwa hiyo subiri ya kupate solution utaipata on the sport.