King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,786
lol! uko sawa kabisa. sasa kuna adapting na new coaligues, uchemshe kidogo mara docs za huku utume kule etc. new salary inaweza ikawa na mushkeli (kama sio ofc makini mra accounts wamesahau housing allowance ikakatwa kodi,lol). especially to ladies,nadhani hiii inachangia kuamua kuhang kwenye mahusiano mabaya. ndo wanasemaga ziwmi likujualo...
<br />
<br />new relationship ni kama a new job...<br />
<br />
kuna intrerview period,<br />
halafu unapewa miezi mitatu ya kutazamwa utendaji kazi...halafu unaajiriwa...lol
<br />