samsun
JF-Expert Member
- Feb 9, 2014
- 7,386
- 5,954
Amini nakwambia,kama kweli ulitendewa hivo na ile pesa au nguvu yako hukumzulumu mtu,basi hakika malipo yatafanyika kwake kwa njia yoyote ile na mara nyingi Mungu umlipa mtu kiasi asijue kama yale ni malipo kwa aliyemfanyia mwanzo na hata wewe uliyetendwa waweza usijue kama yule "adui" yako yale anayopitia ndio malipo yake kwa ubaya alioutenda kwako.