mgonjwa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2013
- 514
- 223
Ni saa moja kasoro dakika 5 nipo hapa Gerezani nasubiri mwendo kasi kwenda Morocco. Kuna tatizo gani kwani tuliahidiwa kila baada ya dakika tano bus itakua inaondoka kituoni. Huu mradi kwa kweli ni jipu.
Mkimalizana na UKUTA Sept 1 mtupie jicho na huku, imekua kero sasa!
Mkimalizana na UKUTA Sept 1 mtupie jicho na huku, imekua kero sasa!