Ni bora CHADEMA ifutwe

OOOOOOOOH GUYS,, :hungry: THIS MAN WHO POSTED THE TOPICS ANAFIKIRI WE LIKE SUCH CCM WE TIRED FOR EXPLOITATION WE NEED RIGHT TOWARDS OUR OWN LIFE....SASA YEYE HAS LIFE GIVEN BY CCM THATS WHY ANATAKA CDM IFUTWE MY FRIEND UR STILL ASLEEP WHILE US WE WAKED UP WE DONT WANT TO BE RULED OUT LIKE CUF. MTAISHIA KUSHIND KIUJANJA UJANJA KILA SIKU. WANASEMA MAENDELEA HAYAJI KWA BAHATI MBAYA LAZIMA WATU WAJITOE MUHANGA...NDIO CHADEMA YENYEWE... POLE SANA FOR FEW SUPPORT. TEHE TEHE TEHE.
 
Ikiwa Chadema imeshindwa na ustaarabu bora Msajili akifute Chama hiki,chama ambacho kinashindwa kujidhibiti na kuwezaa kufuata mkondo wa kisiasa,kwa nini hawaiangalii CUF wapi imetoka na wapi ipo ,hii leo !!

Mimi nawashauri Chadema wasitishe kuingia kwenye Bunge mara moja,nawahakikishia serikali itabadili muelekeo ,ni lazima itabadili muelekeo na vile vile lile lengo la kutomtambua Kikwete kama Raisi halali au alieshinda kihalali, hapo hapana ubishi ni lazima CCM na serikali yake ikae sawa na ni njia moja ya kidemokrasia kabisa.

Lakini kuwarubuni wananchi wakati mnaingia bungeni na kula na kusaza ,hili halikubaliki kabisa kisha kutaka kuwaburuza wananchi kwenda kuchezea maji ya washawasha ,nyie wabunge mnakuwa tandize na majokofu ya jumba la bunge,huo utakuwa utapeli kushinda wa mafisadi,amueni moja tuwafahamu.
Inaonekana kama ungekuwa wewe ni msajiri WA VYAMA VYA SIASA..........UNGESHATUINGIZA VITANI
 
Jaribu kuficha upumbavu wako mara mojamoja!!

Ndugu yangu MWIBA umejiachia saana ndio tatizo la kuwa kibaraka huoni aibu kuandika utumbo against chadema siku zote -ile kwa sasa ni taasisi na ina nguvu ya umma, umma unakubali kazi ya chadema.
 
Ikiwa Chadema imeshindwa na ustaarabu bora Msajili akifute Chama hiki,chama ambacho kinashindwa kujidhibiti na kuwezaa kufuata mkondo wa kisiasa,kwa nini hawaiangalii CUF wapi imetoka na wapi ipo ,hii leo !!

Mimi nawashauri Chadema wasitishe kuingia kwenye Bunge mara moja,nawahakikishia serikali itabadili muelekeo ,ni lazima itabadili muelekeo na vile vile lile lengo la kutomtambua Kikwete kama Raisi halali au alieshinda kihalali, hapo hapana ubishi ni lazima CCM na serikali yake ikae sawa na ni njia moja ya kidemokrasia kabisa.

Lakini kuwarubuni wananchi wakati mnaingia bungeni na kula na kusaza ,hili halikubaliki kabisa kisha kutaka kuwaburuza wananchi kwenda kuchezea maji ya washawasha ,nyie wabunge mnakuwa tandize na majokofu ya jumba la bunge,huo utakuwa utapeli kushinda wa mafisadi,amueni moja tuwafahamu.

Mwiba utapata shida saana kufanikiwa na agenda za kuwa kibaraka wa ccm ndani ya jf, these are great thinkers -njaa inakusumbua nitafute nikupe ajira rasmi sio kuwa kibaraka na kufungwa uwezo wako wa kufikiri. Sioni mantiki ya post zako zaidi ya orders ninzoziona katka post zako.
 
Wakuu wote JF naomba mnisaidie. Mimi huwa nikiona posts kama hizi huwa sizijibu lakini naona ninyi mnazijibu. Sababu ya mimi kutojibu posts kama hizi:

  1. Huwa nagundua kabisa feeling ya aliyeiweka. Ikiwa yuko serious huwa nagundua, tena kirahisi. Asipokuwa serious pia nagundua kirahisi. Kwa mfano huyu aliyeweka hii post (Mwiba) hayuko serious kwa sababu mambo anayoyataja so far yalishatolewa majibu na ufafanuzi. Mwiba si mgeni hapa JF hivyo anafahamu vizuri majibu ya hoja zake ndani na nje ya JF, hivyo kuweka post hii ni katika kurusha roho vijana wenye kuhangaika kujibu kila hoja.
  2. Msimamo wa baadhi ya members ambao wako very biased humu JF unafahamika, hivyo ni rahisi kutambua ajenda ya chini ya kapeti ya mtu anayeweka post. Kwanini kupoteza muda kujibu? Hata kama itawekwa post ya namna hii hata kupitia yule tusiyekubaliana naye basi kuwe na hoja.Sasa hoja hakuna, tunachojibu ni nini? Au ni raha ya kutukanana?
Mi nadhani JF inatakiwa kutumika kujadili masuala mazito zaidi na kwa mtindo wa hoja. Dah! Kuna wakati huwa najiuliza hivi JF ndiyo hii niliyokuwa naisikia?

Wakuu naomba kwa taadhima mnijibu mnapata wapi moyo wa kujibu mizaha? Mi naona nashindwa "kufanikiwa" kama ninyi!!

Asanteni.
 
Wakuu wote JF naomba mnisaidie. Mimi huwa nikiona posts kama hizi huwa sizijibu lakini naona ninyi mnazijibu. Sababu ya mimi kutojibu posts kama hizi:

  1. Huwa nagundua kabisa feeling ya aliyeiweka. Ikiwa yuko serious huwa nagundua, tena kirahisi. Asipokuwa serious pia nagundua kirahisi. Kwa mfano huyu aliyeweka hii post (Mwiba) hayuko serious kwa sababu mambo anayoyataja so far yalishatolewa majibu na ufafanuzi. Mwiba si mgeni hapa JF hivyo anafahamu vizuri majibu ya hoja zake ndani na nje ya JF, hivyo kuweka post hii ni katika kurusha roho vijana wenye kuhangaika kujibu kila hoja.
  2. Msimamo wa baadhi ya members ambao wako very biased humu JF unafahamika, hivyo ni rahisi kutambua ajenda ya chini ya kapeti ya mtu anayeweka post. Kwanini kupoteza muda kujibu? Hata kama itawekwa post ya namna hii hata kupitia yule tusiyekubaliana naye basi kuwe na hoja.Sasa hoja hakuna, tunachojibu ni nini? Au ni raha ya kutukanana?
Mi nadhani JF inatakiwa kutumika kujadili masuala mazito zaidi na kwa mtindo wa hoja. Dah! Kuna wakati huwa najiuliza hivi JF ndiyo hii niliyokuwa naisikia?

Wakuu naomba kwa taadhima mnijibu mnapata wapi moyo wa kujibu mizaha? Mi naona nashindwa "kufanikiwa" kama ninyi!!

Asanteni.

Inategemea mtazamo wako uko compatible kiasi gani na muanzisha hoja!!

Pengine hatanii na ndivyo alivyo, pengine hana mawaza ya siri na pengine yuko serious

Huwezo wako wa kugundua post ya mtu ni very unique mwambie Invisible akuweke uwe MODS!

Muanzisha thread naweza kusema pengine anataka positive move from chadema, anataka chadema wawe harsh, wapenda vita, wagomvi, na hatakai upadre unaoendelea sasa hivi. wako wanachama wa hivyo ambao wanataka VIOLENCE LAKINI NI WANACHAMA HAI NA WAZURI TU, HUYU NI MMOJA WAPO,NA HII POST IS DEPICTING HIS ANGER TOWARDS RECENTLY moves.

the best way ukiona post haina maana usichangie kabisa maana kwa kufanya hivyo umeshavutwa kuchangia. personally kuna watu ambao wako kwenye ignorelist yangu. sitachangia hata iwe vipi si kwa sababu ya uwezo wa kuwazaau kujua their secret intention , hapana bali hoja zao tu.

kaka uko juu!!
 
3D umenena jambo zuri. Lakini tukumbuke kuwa kila mtu ana uhuru wa kusema mawazo yake, na Mwiba kasema ya kwake ingawa zimekuwa pumba zisizojulikana ni za zao gani, mpunga, mahindi, mbigiri? Lakini nashukuru kuwa amepata alichohitaji, watu wamemjibu na amejua sasa ni nini mapenzi ya wengi. Sauti ya watu ni sauti ya Mungu.
 
Inategemea mtazamo wako uko compatible kiasi gani na muanzisha hoja!!

Pengine hatanii na ndivyo alivyo, pengine hana mawaza ya siri na pengine yuko serious

Huwezo wako wa kugundua post ya mtu ni very unique mwambie Invisible akuweke uwe MODS!

Muanzisha thread naweza kusema pengine anataka positive move from chadema, anataka chadema wawe harsh, wapenda vita, wagomvi, na hatakai upadre unaoendelea sasa hivi. wako wanachama wa hivyo ambao wanataka VIOLENCE LAKINI NI WANACHAMA HAI NA WAZURI TU, HUYU NI MMOJA WAPO,NA HII POST IS DEPICTING HIS ANGER TOWARDS RECENTLY moves.

the best way ukiona post haina maana usichangie kabisa maana kwa kufanya hivyo umeshavutwa kuchangia. personally kuna watu ambao wako kwenye ignorelist yangu. sitachangia hata iwe vipi si kwa sababu ya uwezo wa kuwazaau kujua their secret intention , hapana bali hoja zao tu.

kaka uko juu!!

The Following User Says Thank You to Waberoya For This Useful Post:

3D. (Today)
 
3D umenena jambo zuri. Lakini tukumbuke kuwa kila mtu ana uhuru wa kusema mawazo yake, na Mwiba kasema ya kwake ingawa zimekuwa pumba zisizojulikana ni za zao gani, mpunga, mahindi, mbigiri? Lakini nashukuru kuwa amepata alichohitaji, watu wamemjibu na amejua sasa ni nini mapenzi ya wengi. Sauti ya watu ni sauti ya Mungu.

The Following User Says Thank You to Nyota Njema For This Useful Post:

3D. (Today)
 
Ikiwa Chadema imeshindwa na ustaarabu bora Msajili akifute Chama hiki,chama ambacho kinashindwa kujidhibiti na kuwezaa kufuata mkondo wa kisiasa,kwa nini hawaiangalii CUF wapi imetoka na wapi ipo ,hii leo !!

Mimi nawashauri Chadema wasitishe kuingia kwenye Bunge mara moja,nawahakikishia serikali itabadili muelekeo ,ni lazima itabadili muelekeo na vile vile lile lengo la kutomtambua Kikwete kama Raisi halali au alieshinda kihalali, hapo hapana ubishi ni lazima CCM na serikali yake ikae sawa na ni njia moja ya kidemokrasia kabisa.

Lakini kuwarubuni wananchi wakati mnaingia bungeni na kula na kusaza ,hili halikubaliki kabisa kisha kutaka kuwaburuza wananchi kwenda kuchezea maji ya washawasha ,nyie wabunge mnakuwa tandize na majokofu ya jumba la bunge,huo utakuwa utapeli kushinda wa mafisadi,amueni moja tuwafahamu.

Na wewe sijui umesomea chini ya mti au vipi? Tutajie kifungu cha Sheria ya Vyama vya Siasa, 1992, kilichovunjwa na CHADEMA mpaka kistahili kufutwa, au unataka tufuate ushauri wa mkeo/mumeo kuhusu CHADEMA bila kufuata sheria?
 
Kuna watu nawashangaa sana,wakidai eti kwa kuwa chama ni cha kikabila au kidini kitakufa.Sijui hiii falsafa ameitoa wapi.Hebu fikiri je mtu anaweza kukataa kabila lake kwa ajili ya chama?.Na ikiwa ni chama cha kabila kwa nini mimi ambaye ni wa kabila hilo nisikipende chama changu??Au kama ni cha kidini kwa nini kife?Mimi ambaye ni wa dini hiyo nikiue chama changu??Ikiwa huyu aliyeandika anamaanisha hivyo.Hayo ni mawazo mepesi.Usiombe chama kiwe cha kidini au kikabila.Hujui usemalo Bull,kama huna data nyamaza mambo haya naona yanakuzidi urefu na upana.Dini imekuwepo toka kuanza kwa miaka,kabila ndio usiseme,eti kukiwa na chama kinachoungwa mkono na mihimili isiyokufa chenyewe ndio kife.Fikiria vizuri kuhusu hoja yako.Usijaribu kufikiri kiuvivu kama ulivyofikiri.Watu wako tayari kufia dini zao,watu wako tayari kufia kabila zao na ndio maana kukiwa na vita ya kabila haiishi,Bull usichochee kitu kisichokuwepo.
 
Ukisema kitu kifutwe utakuwa unazo sababu za kutosha,kwa kutoa vipengele kadhaa ambavyo wamekiuka.Ukikurupuka kama ulivyofanya,huo ndio udikteta,tunaishi kwa misingi ya sheria.Hivyo toa kifungu cha sheria na adhabu yake iwe kufutwa.Vinginevyo you are not a great thinker.Huna Data,huna kifungu huna haki ya kuandika kama ulivyofanya.Wewe ndio unatakiwa uchukuliwe hatua au ulipe gharama za kuchafua jina la CDM kwa kauli yako ambayo hujaifanyia utafiti.
 
Zipo points nyingi sana ,ila nyie mnaokuja na meno taratibuni mingine ni mifupa. Hili la kusema tutafanya tukipewa ruhusa au hatukupewa ,huoni kama huko ni kukosa ustaarabu ? Au mnataka kuleta mambo ya Kenya maana wengi wenu ni watu wa mipakani mna uzoefu wa fujo na mmekuwa rahisi kuambukiswa kwani ndio mazungumzo ya watu wa mipakani kupeana tumbaku za kunusa,nasema msije mkajaribu ,kama mmechoka na siasa za mwenendo wa Tanzania ,kaeni chonjo ,Usilinganishe na CUF maana CUF mmeona vitu vyao kule Zanzibar wameigawa CCM au wameikata CCM nusu.

Hujiwezi Weye!!!
 
Ndugu yangu kwanza nomba nikupe pole kwa maoni yako yasiyo na tija wala nmaslahi kwa taifa, kinachokufurahisha ni nini kwa uchafu wa ccm , hebu wahurumie watanzania maskini wanaoteseka kwa sababu ya mfumo mbovu usiojali maisha ya wanyonge , naomba jihurumie na wewe mwenyewe kwa sababu Dowans tu inaliyumbisha taifa , katiba sisemi , kagoda nanyamaza, epa yataka uvumilivu,bei mpya ya umeme ni masimango , ndugu yangu kama ni kufutwa ingeanza ccm kwanza, nihurumie mimi kwa hilo.
 
Inategemea ulivyoelewa tu,ila kila kitu kipo wazi kabisa,kama utaangalia ni namna gani msimamo wa Chadema ulivyo hivi sasa,Chadema wanataka kufanya mambo kinguvunguvu,Chadema wanataka kulazimisha WaTz wakubaliane na matakwa yao au vile waonavyo wao ndio jamii nzima ikubaliane nao na hata serikali iwe inafuata mrengo au matakwa yao ,yaani wanataka kila walitakalo wao lifuatwe na wananchi pamoja na serikali kama halikufuatwa au hawakuruhusiwa basi watumie wananchi kulazimisha ,hii ni jeuri na ni kushindwa kufanya siasa,kwa maana hiyo kama wameshindwa na siasa ni bora wabwage manyanga na sio kutaka kujinyakulia amri kutoka mikononi mwao na kuwatumia watu.<br />
<br />
Sisitizo ambalo limekuchanganya ni pale nilipotoa rai kuwa ,wawe wenye kusimamia misimamo yao kisiasa kama waalivyotoka bungeni,nijuavyo walitakiwa wasirudi hadi kieleweke ,hilo halikufanyika,kutomtambua Raisi nalo hilo lingendelea mpaka ikawa kero ndani na nje ya nchi nalo mpaka ieleweke au kieleweke ,lakini wapi hakuna hata moja walilolisimamia kwa umoja na kuliendeleza ,sasa hili la tutafanya ikiwa hatukupewa kibali huoni kama ni kusababsha matatizo,hawaeleweki !! Mambo mengine hayahitaji mpaka mueleweshwe ukitizama tu utaona kuwa Chadema wamepoteza muelekeo na wanakoelekea ni fujo na vurugu ,ndio nikasema bora kifungwe.
<br />
<br />
 
Back
Top Bottom