Edson Silumbe
Member
- Nov 27, 2010
- 52
- 27
Nafikiri wewe sio mwiba ni kichuguu and i seriouly wonder if u are one of the great thinkers of ths amazing forum!
Ni jambo gani ambalo Chadema wanalipigania recently ambalo halina maslahi kwa Taifa? Lipi? Lipi ambalo Chadema wanali-uphold halafu wanawaburuza wananchi kukubaliana nalo ambalo ww kwa akili yako unadhani wananchi wanalipinga!!
Kama Chadema kingekuwa chama unachokielezea wewe si tayari nchi ingekuwa vitani!
Mori ya Wananchi wakati wa kutangazwa matokea ya Urais kwa baadhi ya mikoa ilikuwa juu sana kiasi kwamba Slaa angewahamasisha waasi tayari pasingekalika na huo moto ungeenea taifa zima!!
Katika Afrika utapata wapi mtu Mvumilivu kama Slaa na Chama chake? Karibu kila pembe ya Afrika watu wanazichapa,unajua kwa nn?
Stop writing bullshit,after all,hakuna mageuzi yanayopatikana bila misuguano! Rejea historia ya Ulimwengu,halafu niambie nchi moja ambayo ambapo kumekotokea mageuzi ya aina yeyote pasipo frictions!!
Ni jambo gani ambalo Chadema wanalipigania recently ambalo halina maslahi kwa Taifa? Lipi? Lipi ambalo Chadema wanali-uphold halafu wanawaburuza wananchi kukubaliana nalo ambalo ww kwa akili yako unadhani wananchi wanalipinga!!
Kama Chadema kingekuwa chama unachokielezea wewe si tayari nchi ingekuwa vitani!
Mori ya Wananchi wakati wa kutangazwa matokea ya Urais kwa baadhi ya mikoa ilikuwa juu sana kiasi kwamba Slaa angewahamasisha waasi tayari pasingekalika na huo moto ungeenea taifa zima!!
Katika Afrika utapata wapi mtu Mvumilivu kama Slaa na Chama chake? Karibu kila pembe ya Afrika watu wanazichapa,unajua kwa nn?
Stop writing bullshit,after all,hakuna mageuzi yanayopatikana bila misuguano! Rejea historia ya Ulimwengu,halafu niambie nchi moja ambayo ambapo kumekotokea mageuzi ya aina yeyote pasipo frictions!!