Hyrax
JF-Expert Member
- May 20, 2023
- 620
- 1,581
Wanakijiji wa JamiiForums mimi nipo Dar saivi ninafikiria jambo fulani la kujikwamua kiuchumi ila hii kidogo naipigia mahesabu kitofauti nataka ninunue ka-ist au bajaji then ukiachilia mbali sijui kusafirisha watu sijui uber au bolt nataka hicho chombo nitakachonunua kiwe ndio duka lenyewe sitaki nikodi fremu.
Nataka niwe naenda chimbo nachukua bidhaa mtakazonishauri hapa then napambana huko mtandaoni kutangaza bidhaa au nabeba furushi langu naingia mitaa iliyochangamka nauza mzigo niliubeba kwenye ka-ist changu au Bajaji nikiona wateja wamepungua nahamia mtaa mwingine mpaka mzigo unaisha narudi home kulala je ni bidhaa gani naweza anza nazo zinakanisaidia kupambana na maisha hapa mjini Dar.
Ushauri wenu nitauzingatia kwa unyenyekevu, asanteni
Nataka niwe naenda chimbo nachukua bidhaa mtakazonishauri hapa then napambana huko mtandaoni kutangaza bidhaa au nabeba furushi langu naingia mitaa iliyochangamka nauza mzigo niliubeba kwenye ka-ist changu au Bajaji nikiona wateja wamepungua nahamia mtaa mwingine mpaka mzigo unaisha narudi home kulala je ni bidhaa gani naweza anza nazo zinakanisaidia kupambana na maisha hapa mjini Dar.
Ushauri wenu nitauzingatia kwa unyenyekevu, asanteni