NI aibu mkuu wa nchi kukimbia hoja za kikokotoo Mei mosi na kutuma wawakilishi, hili kwake ni mwiba siku inakuja

Kubalini ukweli. Kikokotoo ni kazi ya mikono ya Mwendazake. Mliishindwa kupambana naye leo mnataka kumwangushia Samia jumba bovu.

Magufuli ndiye alikopa kupindukia kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii mpaka ikafilisika.

Njia ya kuficha aibu ya kufilisika kwa mifuko hiyo akaamua kuiunganisha na kuleta mambo ya kikokotoo ili kuifanya mifuko hiyo iweze kujihimili.

Mnaposema Magufuli alifanya "mambo makubwa" mjue hayo mambo makubwa ndiyo yaliyoleta kikokotoo.

MSILALAMIKE!!
Acha kutupanga, mifuko imepigwa sana enzi za JK na kibaraka wake Ramadhan Dau wa NSSF!
 
Kitendo cha mkuu wa nchi kukimbia sherehe za mei mosi eti kwa sababu kikokotoo NI mwiba kwa wafanyakazi ajue kuwa hapo hajatibu chochote / ccm katika zama hizi isiamini kushinda uchaguzi mkuu kwa njia ya WIZI, watu wanechoka na maisha haya siyo wafanyakazi siyo wananchi WA kawaida wanaona mambo mengi hayaendi hasa utolewaji WA huduma katika taasisi za serikali kwa ujumla.
Mama awe makini na washauri wake akiacha Kila kitu ndiyo mzee ajue anaenda kujimaliza mwenyewe kwenye uchaguzi mkuu !

Kikokotoo ajue NI shida kubwa kwa wafanyakazi Hilo neno lake kuwa tunaenda kulitazama linaendelea kuligharimu taifa hadi Sasa maana hakuna kinachofanyiwa kazi wengi tumeona taarifa ya CAG wengi wabadunda na mamilion yamepigwa.
Ndani ya ccm, na serikalini wajinga, mapepe, machawa, sycophants, ass kissers ndio wanafanya maamuzi, ccm na serikali haina majibu,ya kukuza uchumi wa nchi, nchi iwe na mapato ya kutosha na kuacha ujambazi wa kuiba pesa za, wananchi kwa Kodi, tozo,kuiba pesa za nhif, na kuweka vikokotoo ili kuhakikisha fedha wananchi wanayohifadhi kwenye hifadhi ya jamii, asilimia 80! Inabaki serikalini ili wasndelee kuitumbua! Labda uishi miaka 150!
Kenge kabisa,
Unqchukua pesa Una Jenga ikulu kubwa mpya!unazika pesa, Yale majengo hayadhalishi kitu! Pesa, imezikwa! Kwanini wasingejenga kiwanda cha kuchakata mafuta ya alizeti! Hawa, kenge wanapenda wananchi wabaki hoehae ili watawalike kirahisi, wewe angalia Tundu lisu mmoja anavyoichachafya ccm na serikali, wanashindwa hata kujibu hoja!fikiria Lisu, ange kuwa na uwezo, wa kufanya hotuba kupitia TBC, wasafi, efm nk,ccm wangekimbilia makaburini wafe!
 
Kubalini ukweli. Kikokotoo ni kazi ya mikono ya Mwendazake. Mliishindwa kupambana naye leo mnataka kumwangushia Samia jumba bovu.

Magufuli ndiye alikopa kupindukia kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii mpaka ikafilisika.

Njia ya kuficha aibu ya kufilisika kwa mifuko hiyo akaamua kuiunganisha na kuleta mambo ya kikokotoo ili kuifanya mifuko hiyo iweze kujihimili.

Mnaposema Magufuli alifanya "mambo makubwa" mjue hayo mambo makubwa ndiyo yaliyoleta kikokotoo.

MSILALAMIKE!!
waambie ukweli hao
 
mimi naona wangeondoa hasa hii mifuko ya hifadhi ya jamii, wakawacha watu binafsi kuiongoza kama vile bima. Serikali ikajiondoa kabisa.
 
Haya tukubaliane kuwa kikokotoo kililetwa na Hayati Magufuli akisaidiwa na Samia kama mshauri wake wa karibu. Je, kukiondoa amezuia marehemu?
Hoja yangu ni rahisi sana. Ili ukiondoe kikokotoo ni Lazima mifuko ya hifadhi ya jamii (PSSSF na NSSF) iwe na fedha za kutosha Ili kufanya malipo kwa wastaafu kwa mkupuo kama ilivyokuwa hapo zamani.

Sasa hiyo mifuko haina fedha hizo. Kama itawezekana serikali ikope ili fedha hizo ziingizwe kwenye mifuko hiyo ili kikokotoo kiondolewe.

Kikokotoo ni jina tu, tendo lenyewe ni kulipa stahili za wastaafu kidogo kidogo huku mifuko ikisubiri kulipwa madeni yake na serikali.

Uwekezaji uliofanywa hauwezi kurudisha fedha zilizochotwa chini ya miaka 30-50 ijayo.

Kwa ivo pendekezeni njia zitakazotumiwa na serikali kujenga ustahimilivu (Stability) wa mifuko hiyo endapo Kikokotoo kitaondolewa.
 
Kubalini ukweli. Kikokotoo ni kazi ya mikono ya Mwendazake. Mliishindwa kupambana naye leo mnataka kumwangushia Samia jumba bovu.

Magufuli ndiye alikopa kupindukia kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii mpaka ikafilisika.

Njia ya kuficha aibu ya kufilisika kwa mifuko hiyo akaamua kuiunganisha na kuleta mambo ya kikokotoo ili kuifanya mifuko hiyo iweze kujihimili.

Mnaposema Magufuli alifanya "mambo makubwa" mjue hayo mambo makubwa ndiyo yaliyoleta kikokotoo.

MSILALAMIKE!!
Hehe kama mlivyorithi vingine na hivyo pia pambaneni navyo.........akipenda chongo huita kengeza
 
Naye pia atakokotolewa na wafanyakazi kwa kupitia kikokotoo chao kwake
😂😂😂😂
Wafanyakazi wengi ni CCM. Yaani wanaipenda sana CCM kuliko wanavyochukia umaskini waliosababishiwa na CCM.

Ikifika mwakani utaona jinsi waalimu na watumishi wa Halmashauri za miji(ndiyo kundi kubwa la waajiriwa Wa serikali) watakavyopambana kuhakikisha kuwa CCM inabaki madarakani hata kwa njia haramu.
 
Wafanyakazi wengi ni CCM. Yaani wanaipenda sana CCM kuliko wanavyochukia umaskini waliosababishiwa na CCM.

Ikifika mwakani utaona jinsi waalimu na watumishi wa Halmashauri za miji(ndiyo kundi kubwa la waajiriwa Wa serikali) watakavyopambana kuhakikisha kuwa CCM inabaki madarakani hata kwa njia haramu.
Wafanyakazi ni TAWI la CCM 😄

Msondo Ngoma 😂😂😂
 
Tatizo hakuwahi kuwa mtumishi wa umma au vitaasisi vya bongo bali mashirika ya wafadhili.wafadhili wana mishahara sana,poshobzao kwetu mshahara
Na kama shirika ni la "mabeberu" basi ndiyo balaa. Mshahara tu wa mhudumu wa ofisi ni sawa na mshahara kwa baadhi ya maofisa wa serikali.
 
Kitendo cha mkuu wa nchi kukimbia sherehe za mei mosi eti kwa sababu kikokotoo NI mwiba kwa wafanyakazi ajue kuwa hapo hajatibu chochote / ccm katika zama hizi isiamini kushinda uchaguzi mkuu kwa njia ya WIZI, watu wanechoka na maisha haya siyo wafanyakazi siyo wananchi WA kawaida wanaona mambo mengi hayaendi hasa utolewaji WA huduma katika taasisi za serikali kwa ujumla.
Mama awe makini na washauri wake akiacha Kila kitu ndiyo mzee ajue anaenda kujimaliza mwenyewe kwenye uchaguzi mkuu !

Kikokotoo ajue NI shida kubwa kwa wafanyakazi Hilo neno lake kuwa tunaenda kulitazama linaendelea kuligharimu taifa hadi Sasa maana hakuna kinachofanyiwa kazi wengi tumeona taarifa ya CAG wengi wabadunda na mamilion yamepigwa.
Wapi mkuu, kakimbia "KINYAGO" alicho kichonga mwenyewe!!!
 
Back
Top Bottom