NI aibu mkuu wa nchi kukimbia hoja za kikokotoo Mei mosi na kutuma wawakilishi, hili kwake ni mwiba siku inakuja

Acha kutupanga,mifuko imepigwa sana enzi za JK na kibaraka wake Ramadhan Dau wa NSSF!
Wewe huutaki ukweli. Endelea hivyo hivyo ili kuiridhisha ego yako. Samia si mwanzilishi wa kikokotoo bali mwendazake. Tena Samia kakitoa kutoka asilimia 25 za mwendazake mpaka 33. Na kwa empathy aliyonayo ataendelea kukiboresha na ndio maana vice president alilitolea kauli.
 
Kitendo cha mkuu wa nchi kukimbia sherehe za mei mosi eti kwa sababu kikokotoo NI mwiba kwa wafanyakazi ajue kuwa hapo hajatibu chochote / ccm katika zama hizi isiamini kushinda uchaguzi mkuu kwa njia ya WIZI, watu wanechoka na maisha haya siyo wafanyakazi siyo wananchi WA kawaida wanaona mambo mengi hayaendi hasa utolewaji WA huduma katika taasisi za serikali kwa ujumla.
Mama awe makini na washauri wake akiacha Kila kitu ndiyo mzee ajue anaenda kujimaliza mwenyewe kwenye uchaguzi mkuu !

Kikokotoo ajue NI shida kubwa kwa wafanyakazi Hilo neno lake kuwa tunaenda kulitazama linaendelea kuligharimu taifa hadi Sasa maana hakuna kinachofanyiwa kazi wengi tumeona taarifa ya CAG wengi wabadunda na mamilion yamepigwa.
We bwege usimfananishe Rais wetu na huyo mamako mpumbavu aliyezaa lofa km wewe
 
Lawama zinakwenda kwa washauri sababu ya incompetent ya kiongozi mkuu.Tuache unafiki Honorable causa hana uwezo wa kuwa Rais.

"Mtu akikupa ushauri wa kipumbavu,nawe ukajua niwa kipumbavu,alafu ukaufanyie Kazi ujue anakudharau"Mwl.Nyerere
 
Kitendo cha mkuu wa nchi kukimbia sherehe za mei mosi eti kwa sababu kikokotoo NI mwiba kwa wafanyakazi ajue kuwa hapo hajatibu chochote / ccm katika zama hizi isiamini kushinda uchaguzi mkuu kwa njia ya WIZI, watu wanechoka na maisha haya siyo wafanyakazi siyo wananchi WA kawaida wanaona mambo mengi hayaendi hasa utolewaji WA huduma katika taasisi za serikali kwa ujumla.
Mama awe makini na washauri wake akiacha Kila kitu ndiyo mzee ajue anaenda kujimaliza mwenyewe kwenye uchaguzi mkuu !

Kikokotoo ajue NI shida kubwa kwa wafanyakazi Hilo neno lake kuwa tunaenda kulitazama linaendelea kuligharimu taifa hadi Sasa maana hakuna kinachofanyiwa kazi wengi tumeona taarifa ya CAG wengi wabadunda na mamilion yamepigwa.
Badala ya kutatua tatizo Rais amekimbia - TAL 2017
 
Kubalini ukweli. Kikokotoo ni kazi ya mikono ya Mwendazake. Mliishindwa kupambana naye leo mnataka kumwangushia Samia jumba bovu.

Magufuli ndiye alikopa kupindukia kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii mpaka ikafilisika.

Njia ya kuficha aibu ya kufilisika kwa mifuko hiyo akaamua kuiunganisha na kuleta mambo ya kikokotoo ili kuifanya mifuko hiyo iweze kujihimili.

Mnaposema Magufuli alifanya "mambo makubwa" mjue hayo mambo makubwa ndiyo yaliyoleta kikokotoo.

MSILALAMIKE!!
Achana na Magufuli wewe kima, walau yeye alijenga miradi mikubwa!! Haya maneno ya kujifariji ndo yanazidi kumchafua Samia. Kwahiyo nyie CHAWA uchwara ndo mmemdanganya awakimbie wafanyakazi?? Wapuuzi wakubwa nyie
 
Acha kutupanga,mifuko imepigwa sana enzi za JK na kibaraka wake Ramadhan Dau wa NSSF!
Ni kweli dau na wenzake walikuwa wanapiga hasa kwenye Miradi ya ujenzi. Ila siyo kwa kiasi ya kuifanya ifirisike. Shida kubwa ni mikopo ya serikali na uwekezaji kwenye viwanda vilivyoshindwa kufanya uzalushaji kama ulivyotegemewa
 
Hoja yangu ni rahisi sana. Ili ukiondoe kikokotoo ni Lazima mifuko ya hifadhi ya jamii (PSSSF na NSSF) iwe na fedha za kutosha Ili kufanya malipo kwa wastaafu kwa mkupuo kama ilivyokuwa hapo zamani.

Sasa hiyo mifuko haina fedha hizo. Kama itawezekana serikali ikope ili fedha hizo ziingizwe kwenye mifuko hiyo ili kikokotoo kiondolewe.

Kikokotoo ni jina tu, tendo lenyewe ni kulipa stahili za wastaafu kidogo kidogo huku mifuko ikisubiri kulipwa madeni yake na serikali.

Uwekezaji uliofanywa hauwezi kurudisha fedha zilizochotwa chini ya miaka 30-50 ijayo.

Kwa ivo pendekezeni njia zitakazotumiwa na serikali kujenga ustahimilivu (Stability) wa mifuko hiyo endapo Kikokotoo kitaondolewa.
Umeeleza vzr sana
 
Achana na Magufuli wewe kima, walau yeye alijenga miradi mikubwa!! Haya maneno ya kujifariji ndo yanazidi kumchafua Samia. Kwahiyo nyie CHAWA uchwara ndo mmemdanganya awakimbie wafanyakazi?? Wapuuzi wakubwa nyie
Haya maneno yako ya shombo hayana ubavu wa kukiondoa kikokotoo!!
 
Achana na Magufuli wewe kima, walau yeye alijenga miradi mikubwa!! Haya maneno ya kujifariji ndo yanazidi kumchafua Samia. Kwahiyo nyie CHAWA uchwara ndo mmemdanganya awakimbie wafanyakazi?? Wapuuzi wakubwa nyie
Shida kubwa watu mnafikiria kwa kutumia hisia badala ya reasoning.
Hiyo Miradi ndio inatutesa sasa hivi. Ulipokuwa unaambiwa inatekelezwa kwa fedha za ndani unadhani hizo fedha humu ndani zilikuwa zinatoka wapi? Ama unapoambiwa deni la taifa la ndani ni kiasi fulani unahisi anayedai hizo fedha humu ndani ni nani?

Fedha nyingi zilikopwa kwenda kwenye Miradi ya maendeleo pia haya mashirika yalishawishiwa kuwekeza kwenye viwanda na kufufua vilivyokufa ili kutekeleza sera ya serikali ya viwanda.

Tatizo serikali halijalipa Madeni yake na wakati huo huo uwekezaji kwenye viwanda ulikuwa wa kimhemko badala ya kufanya analysis na projection za kuichumi. Matokeo yake havifanyi uzalishaji ama vinafanya uzalishaji hafifu
 
Kubalini ukweli. Kikokotoo ni kazi ya mikono ya Mwendazake. Mliishindwa kupambana naye leo mnataka kumwangushia Samia jumba bovu.

Magufuli ndiye alikopa kupindukia kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii mpaka ikafilisika.

Njia ya kuficha aibu ya kufilisika kwa mifuko hiyo akaamua kuiunganisha na kuleta mambo ya kikokotoo ili kuifanya mifuko hiyo iweze kujihimili.

Mnaposema Magufuli alifanya "mambo makubwa" mjue hayo mambo makubwa ndiyo yaliyoleta kikokotoo.

MSILALAMIKE!!
Ni kikwete, sio Mjomba Magu
 
Zero 2 Hero watu wanaleta mihemko tu.

Kikwete yeye alileta Daraja la Kigamboni na Mradi wa Dege Beach.

Watu hawaambiwi kuwa zile fedha "zetu" za ndani alizokuwa anatamba nazo Magufuli zilikuwa zinatoka wapi!?

Maana kama makusanyo ya Kodi za ndani yalitumika kulipa madeni ya nje na ya ndani pamoja na mishahara kwa zaidi ya 70% ,jee fedha za hiyo miradi mikubwa zilitoka wapi nje ya makusanyo ya Kodi??

BCC: kagoshima
 
Kubalini ukweli. Kikokotoo ni kazi ya mikono ya Mwendazake. Mliishindwa kupambana naye leo mnataka kumwangushia Samia jumba bovu.

Magufuli ndiye alikopa kupindukia kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii mpaka ikafilisika.

Njia ya kuficha aibu ya kufilisika kwa mifuko hiyo akaamua kuiunganisha na kuleta mambo ya kikokotoo ili kuifanya mifuko hiyo iweze kujihimili.

Mnaposema Magufuli alifanya "mambo makubwa" mjue hayo mambo makubwa ndiyo yaliyoleta kikokotoo.

MSILALAMIKE!
Kwa kuwa ameondoka basi kiondoeni kikokotoo. Mkishindwa inamaana ni ninyi wa sasa ndio mnakitaka na wala sio Magufuli. Hapa tutamjua mchawi nani
 
Back
Top Bottom