Ni aibu kwa Media, Waziri na Wachambuzi wa Michezo kutoa maamuzi Goli la Yanga bila kujiridhisha

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Jan 9, 2022
558
1,216
Mpira ni kitu cha Duara hivyo unapotua chini ni sehemu ndogo tu ya mpira inagusa ardhi sehemu kubwa inakuwa hewani .

Kwa maana nyingine ukiwa upande mmoja unaweza ona mpira umevuka lakini ukiangalia kutoka juu ukawa bado haujavuka wote .

Na kwa maana rahisi ni kwamba VAR pia haiwezi kuwa sahihi sana pia ila ni GOAL LINE TECHNOLOGY tu ndio yenye uhakika kwa hapa .

Waziri, Wachambuzi wameconclude moja moja kuwa ni Goli

Yanga nao kwa haraka haraka wamejirizisha ni goal kwa kutumia video na image chache tu

Kulingana na Experts wa VAR Jerome Damon ..“Without GLT (Goal line technology) it’s impossible for VAR to say goal or no goal – one can speculate either way but cannot be 100% sure,” .

Hapa tumekosa
1.Goal line technology kitu ambacho ni muhimu
2.hatuna hata videos ambazo zinaonesha mpira katika pembe tofauti tofauti

Hapa video ya juu ina angle tofauti inaonesha mpira vizuri goli letu halina


Hapa technology imetumika
Na ni bora siasa isiingilie Mpira​
 
Nimemsikia Mlevi mmoja wa Clouds Media wa Kuitwa DAKOTA akiutangazia Umma kwamba siku MOTSEPE akija Tanzania tummalize! Nikajisemea this is too much now, ambao hawakuskia hii watafute kipindi cha saa 6 usiku cha Clouds mambo ya Rhumbba.

Yule Naibu Wazir naye kiaziiii hajui hata Diplomacy anaropoka kama anaimba taarabu tuu. Kuna namna ya kuongea kama Kiongozi siyo anatanguliza mihemko na ushabiki mwishowe wanaharibu.
 
Mpira ni kitu cha Duara hivyo unapotua chini ni sehemu ndogo tu ya mpira inagusa ardhi sehemu kubwa inakuwa hewani .

Kwa maana nyingine ukiwa upande mmoja unaweza ona mpira umevuka lakini ukiangalia kutoka juu ukawa bado haujavuka wote .

Na kwa maana rahisi ni kwamba VAR pia haiwezi kuwa sahihi sana pia ila ni GOAL LINE TECHNOLOGY tu ndio yenye uhakika kwa hapa .

Waziri, Wachambuzi wameconclude moja moja kuwa ni Goli

Yanga nao kwa haraka haraka wamejirizisha ni goal kwa kutumia video na image chache tu

Kulingana na Experts wa VAR Jerome Damon ..“Without GLT (Goal line technology) it’s impossible for VAR to say goal or no goal – one can speculate either way but cannot be 100% sure,” .

Hapa tumekosa
1.Goal line technology kitu ambacho ni muhimu
2.hatuna hata videos ambazo zinaonesha mpira katika pembe tofauti tofauti
View attachment 2956186
Hapa video ya juu ina angle tofauti inaonesha mpira vizuri goli letu halina

View attachment 2956187
Hapa technology imetumika
Na ni bora siasa isiingilie Mpira​
Mashabiki wafia timu zao huwa wanaendeshwa na hisia na mahaba zaidi kuliko uhalisia.
 
Nimemsikia Mlevi mmoja wa Clouds Media wa Kuitwa DAKOTA akiutangazia Umma kwamba siku MOTSEPE akija Tanzania tummalize! Nikajisemea this is too much now, ambao hawakuskia hii watafute kipindi cha saa 6 usiku cha Clouds mambo ya Rhumbba.

Yule Naibu Wazir naye kiaziiii hajui hata Diplomacy anaropoka kama anaimba taarabu tuu. Kuna namna ya kuongea kama Kiongozi siyo anatanguliza mihemko na ushabiki mwishowe wanaharibu.
😆😆😆😆tuna safari ndefu
 
Mpira ni kitu cha Duara hivyo unapotua chini ni sehemu ndogo tu ya mpira inagusa ardhi sehemu kubwa inakuwa hewani .

Kwa maana nyingine ukiwa upande mmoja unaweza ona mpira umevuka lakini ukiangalia kutoka juu ukawa bado haujavuka wote .

Na kwa maana rahisi ni kwamba VAR pia haiwezi kuwa sahihi sana pia ila ni GOAL LINE TECHNOLOGY tu ndio yenye uhakika kwa hapa .

Waziri, Wachambuzi wameconclude moja moja kuwa ni Goli

Yanga nao kwa haraka haraka wamejirizisha ni goal kwa kutumia video na image chache tu

Kulingana na Experts wa VAR Jerome Damon ..“Without GLT (Goal line technology) it’s impossible for VAR to say goal or no goal – one can speculate either way but cannot be 100% sure,” .

Hapa tumekosa
1.Goal line technology kitu ambacho ni muhimu
2.hatuna hata videos ambazo zinaonesha mpira katika pembe tofauti tofauti
View attachment 2956186
Hapa video ya juu ina angle tofauti inaonesha mpira vizuri goli letu halina

View attachment 2956187
Hapa technology imetumika
Na ni bora siasa isiingilie Mpira​
Sasa kama hakuna goal line technology, refa aliamuaje kuwa lile sio goli wakati sote tunaona mpira ulivuka mstari kwa 100%?
Kwanini hakuamua ni goli ili tusimchallenge?
 
kama kuna mtu aliangalia game ya totteham na luton anaweza akasema sisi wa Tanzania bado sana kwenye sheria mpya zinazotoka kila kukicha za mpira
 
Shida unafanya uchambuzi ukiwa umevaa koti la Simba. Vua koti la Simba au Yanga, halafu ndio utachambua vizuri.
Mpira ni kitu cha Duara hivyo unapotua chini ni sehemu ndogo tu ya mpira inagusa ardhi sehemu kubwa inakuwa hewani .

Kwa maana nyingine ukiwa upande mmoja unaweza ona mpira umevuka lakini ukiangalia kutoka juu ukawa bado haujavuka wote .

Na kwa maana rahisi ni kwamba VAR pia haiwezi kuwa sahihi sana pia ila ni GOAL LINE TECHNOLOGY tu ndio yenye uhakika kwa hapa .

Waziri, Wachambuzi wameconclude moja moja kuwa ni Goli

Yanga nao kwa haraka haraka wamejirizisha ni goal kwa kutumia video na image chache tu

Kulingana na Experts wa VAR Jerome Damon ..“Without GLT (Goal line technology) it’s impossible for VAR to say goal or no goal – one can speculate either way but cannot be 100% sure,” .

Hapa tumekosa
1.Goal line technology kitu ambacho ni muhimu
2.hatuna hata videos ambazo zinaonesha mpira katika pembe tofauti tofauti
View attachment 2956186
Hapa video ya juu ina angle tofauti inaonesha mpira vizuri goli letu halina

View attachment 2956187
Hapa technology imetumika
Na ni bora siasa isiingilie Mpir​
 
Njoo na hoja ya msingi ya kutushawishi kuwa lile sio goli, maana hata sisi wana Simba tulioangalia ile mechi tuliona lile ni goli kwa 100%, sasa kama kuna hoja ya msingi ya kusema tofauti, tunaingoja kwa hamu ili tuwanange vilivyo utopolo, otherwise wanaSimba wote tutaonekana ni mbumbumbu kukataa sio goli.
 
Hayakuhusu
20240407_104005.jpg
 
Mpira ni kitu cha Duara hivyo unapotua chini ni sehemu ndogo tu ya mpira inagusa ardhi sehemu kubwa inakuwa hewani .

Kwa maana nyingine ukiwa upande mmoja unaweza ona mpira umevuka lakini ukiangalia kutoka juu ukawa bado haujavuka wote .

Na kwa maana rahisi ni kwamba VAR pia haiwezi kuwa sahihi sana pia ila ni GOAL LINE TECHNOLOGY tu ndio yenye uhakika kwa hapa .

Waziri, Wachambuzi wameconclude moja moja kuwa ni Goli

Yanga nao kwa haraka haraka wamejirizisha ni goal kwa kutumia video na image chache tu

Kulingana na Experts wa VAR Jerome Damon ..“Without GLT (Goal line technology) it’s impossible for VAR to say goal or no goal – one can speculate either way but cannot be 100% sure,” .

Hapa tumekosa
1.Goal line technology kitu ambacho ni muhimu
2.hatuna hata videos ambazo zinaonesha mpira katika pembe tofauti tofauti
View attachment 2956186
Hapa video ya juu ina angle tofauti inaonesha mpira vizuri goli letu halina

View attachment 2956187
Hapa technology imetumika
Na ni bora siasa isiingilie Mpira​
Huu sasa ndio uchambuzi. Tuwasubiri utopolo waje kumwaga upupu wao hapa
 
Njoo na hoja ya msingi ya kutushawishi kuwa lile sio goli, maana hata sisi wana Simba tulioangalia ile mechi tuliona lile ni goli kwa 100%, sasa kama kuna hoja ya msingi ya kusema tofauti, tunaingoja kwa hamu ili tuwanange vilivyo utopolo, otherwise wanaSimba wote tutaonekana ni mbumbumbu kukataa sio goli.
Mnavyolia lia kana kwamba ni nyie peke yenu mmeonewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom