Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 558
- 1,216
Mpira ni kitu cha Duara hivyo unapotua chini ni sehemu ndogo tu ya mpira inagusa ardhi sehemu kubwa inakuwa hewani .
Kwa maana nyingine ukiwa upande mmoja unaweza ona mpira umevuka lakini ukiangalia kutoka juu ukawa bado haujavuka wote .
Na kwa maana rahisi ni kwamba VAR pia haiwezi kuwa sahihi sana pia ila ni GOAL LINE TECHNOLOGY tu ndio yenye uhakika kwa hapa .
Waziri, Wachambuzi wameconclude moja moja kuwa ni Goli
Yanga nao kwa haraka haraka wamejirizisha ni goal kwa kutumia video na image chache tu
Kulingana na Experts wa VAR Jerome Damon ..“Without GLT (Goal line technology) it’s impossible for VAR to say goal or no goal – one can speculate either way but cannot be 100% sure,” .
Hapa tumekosa
1.Goal line technology kitu ambacho ni muhimu
2.hatuna hata videos ambazo zinaonesha mpira katika pembe tofauti tofauti
Hapa video ya juu ina angle tofauti inaonesha mpira vizuri goli letu halina
Hapa technology imetumika
Na ni bora siasa isiingilie Mpira
Kwa maana nyingine ukiwa upande mmoja unaweza ona mpira umevuka lakini ukiangalia kutoka juu ukawa bado haujavuka wote .
Na kwa maana rahisi ni kwamba VAR pia haiwezi kuwa sahihi sana pia ila ni GOAL LINE TECHNOLOGY tu ndio yenye uhakika kwa hapa .
Waziri, Wachambuzi wameconclude moja moja kuwa ni Goli
Yanga nao kwa haraka haraka wamejirizisha ni goal kwa kutumia video na image chache tu
Kulingana na Experts wa VAR Jerome Damon ..“Without GLT (Goal line technology) it’s impossible for VAR to say goal or no goal – one can speculate either way but cannot be 100% sure,” .
Hapa tumekosa
1.Goal line technology kitu ambacho ni muhimu
2.hatuna hata videos ambazo zinaonesha mpira katika pembe tofauti tofauti
Hapa video ya juu ina angle tofauti inaonesha mpira vizuri goli letu halina
Hapa technology imetumika
Na ni bora siasa isiingilie Mpira