sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,044
Imagine mtu ana gpa ya 4.5 hadi 4.9 sijawai ona 5.0) , anamaliza chuo anarudi kitaa na kwao hawapo njema kiuchumi hawezi pata mtaji kirahisi, umaarufu wa kupata gpa nzuri unageuka kumuaibisha.
Na mara nyingi aina hii ya watu ni wale tuliokuwa tunawaita kina john kisomo, Sehemu wanayoiwezea zaidi ni masomo na taaluma walizosomea vyuoni, nje ya hapo mambo mengi ni mapya, ni heri wawe wanabakizwa vyuoni wawe hata tutorial assistants, pia huwa wanakuwa wachache unakuta kozi nzima yupo moja ama wawili na si ajabu baadhi ya miaka hawapo kabisa.
Watu hawa wana stress sana, oili waliyochoma chuoni inakuwa imeenda bure,
Na mara nyingi aina hii ya watu ni wale tuliokuwa tunawaita kina john kisomo, Sehemu wanayoiwezea zaidi ni masomo na taaluma walizosomea vyuoni, nje ya hapo mambo mengi ni mapya, ni heri wawe wanabakizwa vyuoni wawe hata tutorial assistants, pia huwa wanakuwa wachache unakuta kozi nzima yupo moja ama wawili na si ajabu baadhi ya miaka hawapo kabisa.
Watu hawa wana stress sana, oili waliyochoma chuoni inakuwa imeenda bure,