kilalile
JF-Expert Member
- Jun 4, 2012
- 1,595
- 2,205
Ingekuwa shule za seminari na nyinyi mnaletewa wanafunzi na serikali, hiyo unayoiita discipline ya hali ya juu ungeisikia kwenye redio tu. Na ndio maana huko seminari wanachuja sana kwenye ile mitihani yao ya kujiunga na shule yao, washajua mtoto mwenye akili za ununda hawezi kufikisha wastani wa 90%, na ndio huo wanaweka mwanawani, nunda hata akijikakamua vipi anaishia wastani wa 35% hahahahaaaa chaliii anarudi kwenye shule yake ya kata aliyochaguliwa.Kipindi nasoma seminari, sikuwahi kushuhudia kabisa uchapaji wa viboko, lakini tulikuwa na discipline ya hali ya juu kabisa.
Watovu wa nidhamu walipewa adhabu ya kupalilia mashamba, kusafisha mabanda ya nguruwe, kufukuzwa shule na kupewa suspensions.
Sent using Jamii Forums mobile app