NHIF yakusudia kusitisha Mkataba wa Huduma kwa Hospitali za APHTA Ikiwemo Aghakani na TMJ

DAWA YA MOTO NI MOTO . AGHA KHAN ITAKUFA , wanachuo wote wanatibiwa in those hospitals . Let’s wait and see who wins.

They actually create a fear vacuum . If you act we act .
Umeambiwa na nani Agha Khan wanategemea bima?
Yani wanachuo wale wala mihogo wanaotibiwa Agha Khan kwa sifa wakati hela hawana ndio waue hospitali kubwa vile 😂
 
Sio kweli . SOUTH AFRICA TU AMNA .
KENYA,UGANDA,RWANDA,NIGERIA,ETHIOPIA,DJUBOUT,ANGOLA,EGYPT,LIBYA,MOROCCO,TUNISIA ,ALGERIA,,,da ni rodha ndefu sana,mpaka ulaya canada na america!!! na huduma zao wanarate kwa dola ndo manake wana bei kubwa!!! sio kwamba nawaqtetea,no naongea fact!!
 
Mimi siyo kapuku ningekuwa kapuku nisingekuwa hapa ,ina maana ningekosa hata pesa ya bando .

Naongelea watanzania wanyonge ambao wananyanyasika na watu ambao ni profit oriented kiasi kwamba hawaangalii hata ustawi wa watu.
Ustawi wa watu wakati hawapati malipo toka kwa NHIF kwa wakati ?
Au unadhani hizo hospitali zinajiendesha vipi bila kuwa na Income stream ya uhakika ?
Ni kama wewe inavyokuwa na biashara yako , we unaweza fungua biashara na kutoa huduma bure kama charity bila kuwa na Income ? Na hapo bado kodi na gharama kubwa za uendeshaji zinakuface ?
Ndio matatizo ya watu ambao hamna hata basics za jinsi uchumi na biashara zinavyooperate , ninyi mnaona bwerere tu


Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna AGHA KHAN hospital in UK,
France, Germany, USA etc sana sana utazikuta Tanzania, Kenya, India, Pakistan, Bangladesh na

Hakuna AGHA KHAN hospital in UK,
France, Germany, USA etc sana sana utazikuta Tanzania, Kenya, India, Pakistan, Bangladesh na nchi kama hizo.
nadhani wewe ni msahbiki wa mpira,manake unabisha bila evidence!! kwaher
 
SOUTH AFRICA TU HAPO AGA KHAN AMNA .wewe ndo una overate vitu , health sectors kuna major players kibao .
Sasa unalinganisha South Africa nchi ya kwanza duniani kufanya heart transplant mwaka 1967 dhidi ya Tanzania nchi ambayo maprofesa wake wa afya walitengeneza kachumbari ya Bupiji kama dawa ya COVID-19 mwaka 2020?
 
Wao waendelee kuhudumia hao wenye pesa na sisi tutaendelea kupatiwa huduma kwenye hospital za government ambazo tumezaliwa huko na zimetukuza mpaka sasa.
Chief unajua foleni iliyopo kwenye hospitali za serikali?
Kuna watu baadhi ya hospitali,huamka saa kumi za usiku kwenda kupanga foleni hospitalini,na hapo ni kwamba hospitali za binafsi nazo zinafanya kazi,je(hizo hospitali binafsi) wasipokua wanawapokea?
 
Wait and see . Wait and see . Very different economic generations
. No one is paying 100k-200k per treatment . Every month for the rest of the life . In this economy . Also the lack of funds forced them to accept the insurance
Kinachokuponza unadhani unajua Sana ni haka Ka kiingereza Ka kindergarten. Mnabishana Kwa kitu ambacho wao ndio wanaelewa wanavyosurvive Kwenye soko Lao. Jobless mnatia huruma.
 
Barua ya NHIF ni sawa kumpa mfanyakazi barua ya kumuachisha kazi ikiwa yeye mwenyewe keshatoa taarifa ya kuacha kazi.
 
Agha Khan haifi

Wala hizi hospitali hazifi

Na hapo hawajaonesha hospitali zingine msururu ndogo ndogo,wana umoja wao hawa...watatoka na kauli moja regardless

Serikali haiwezi kushindana na hawa

Serikali inakusanya hela kutoka kwa wananchi kwa ahadi ya kutoa matibabu,serikali inakula hizo hela

Haya mahospitali hayalipwi,therefore cut the fvcken ties with this stupid govtment!
Bora mkuu useme ukweli
 
Back
Top Bottom