Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 1,299
- 1,453
Habari zenu wakuu??
Hapo nyuma nilikutana na Changa Moto nyingi
ambazo ninaimani zilikuwa ni changa Moto rahisi Sana kwa mtu ambaye alikuwa akiziskia na kuziona zilipo kuwa zikini kumba but was tight
Nili dhalilika,nikadharaulika, nikasemwa,nikasemekana,
kunawakati niliambiwa maneno nawatu walio kuwa karibu na jamaa zangu kwamba jamaa zako wali kuzungumzia hivi na vile skuamini.
Nilishangaa hata frani? Ni wa kunizungumzia hivi?
Nilipiga magoti kwa mungu wangu huku nikiwa nime patwa na hasira na uchungu mkubwa na hisia za kuhisi nime salitiwa na watu nilio waamini
naweza kusema ulikuwa niwakati ambao ningefanya vitu ambayo havikufaa kufanyika mbele ya jamii inayo nizunguka kwani daima hasira hazijengi Basi Moyo wangu uliniambia kaa kimya hakika nilikaa kimya.
Nili endelea kukaakimya huku nikiendelea kuyatatua magumu Yale yaliyo kuwa yanani kabiri nikiwa peke yangu kwenye mazingira magumu ambayo hayakuwa rahisi kuya vumilia.
Kwani wale nilio wategemea kuwa upande wangu woote walini kataa badara ya kunisaidia wakawa nikikwazo kwa wale wenye Nia ya kutaka kunisaidia juu ya magumu yangu
Naweza kusema badara ya kunisaidia kazi yao kubwa ilikuwa nikuwazuia wale waliotaka kunisaidia wasini saidie
Sjui kwanini? Sjui nili wakosea nini? Na sijui niliwai kuwafanyia ubaya gani hakika sjui.
Nakumbuka kunammoja alijaribu kusema hivi baada ya kumpigia na kumwomba msaada...
Ndugu yangu hayo matatizo pambana nayo mwenyewe ""
nikamkatisha kwa kusema sijakupigia ili unitoe kwenye level hii na kunifikisha kwenye level ile Ila nimekupigia Kama ndugu yangu Tena binamu yangu uende sehemu frani na kwamtu frani akupe kiasi frani uniletee hapa nitajua ntatokaje hapa
akaenda akaleta Kisha akatamka maneno haya huku akiogopa kuniangalia machoni akipotezea kwa kuangalia huku na Kyle akasema.
Killing wewe Ni ndugu yangu najua Ila Hii kesi mtu pekee wa kui solve niwewe mwenyewe shika kiasi chako hichi akaendelea kuongea maneno mengi huku akinipa kile kiasi..
Akani kabidhi kwa Siri kile kiasi na kuondoka zake
Nika mshukuru huku hakiri yangu ikiniambia inatosha kwa hiki alicho kifanya/kusaidia
Mungu mwema nilipigana nikapambana nakadri nilivyo kata tamaa nikapata tumaini jipya/hakiri mpya
mwisho wa siku Nikawa free""
wakuu sjawai kuamini kuhusu kitu kinacho itwa karma
Yule mtu ambaye ndiye chanzo Cha tatizo au kuharibikiwa kwangu anaishi maisha magumu baraa
Wale wote ambao alishilikiana nao kunifikisha pale kwenye Hari ile wote choka mbaya
Yule binamu kapata tatizo Ana daiwa pesa ndefu alikuja hapa mjini kwangu akafikia hoterini pesa ikamwishia akanitafuta nikakutana nae hatimaye leo yupo kwangu
na kwasababu hakuja na nguo Wala begi Basi tunaenda wote dukani namnunulia nguo nampa pesa ya matumizi asije hisi na mnyanyasa
natangulia home kwani Mimi sio mpenzi wa night crubs/ bar either grocery akinywa anarudi nyumbani
Moaka Sasa nimemyaftia kazi ataanza jumatatu na kwenye Deni lake nime mlipia nusu ya Deni lake huku kwake au kwa mke wake anatuma pesa ya matumizi kupitia mgongo wangu
Kiukweli Sina kinyongo nae hata kidogo lakini kilicho nifanya Nika post Hii kitu Ni baada ya yeye kutamka maneno haya...
Ndugu yangu killing sikutegemea Kama wewe leo ungekuwa msaada wangu,sikutegemea Kama leo ungenisaidia kiasi hiki, hasa nikifikiria jinsi nilivyo kutosa kwenye tatizo lako kipindi Cha nyuma,
Nilikutamkia maneno mengi ambayo haya kuku faa kwa kipindi kile kigumu
lakini hauku wai kunijibu, ulikaa kimya daima na ulipambana ukayashinda
Akaendelea kusema...
Kinacho niuma zaidi nikwanini wewe tuu nilikukosea na niwewe tuu unanisaidia kwanini sio wale nilio kuwa nakunywa nao naishi nao?
Nika tabasam.
nikamtazama.
nika mwambia...
ukimya nizaidi ya jibu..
na kunakitu kinaitwa karma unakijua? Akanijibu hapana
Nikamwambia karibu jf
Hapo nyuma nilikutana na Changa Moto nyingi
ambazo ninaimani zilikuwa ni changa Moto rahisi Sana kwa mtu ambaye alikuwa akiziskia na kuziona zilipo kuwa zikini kumba but was tight
Nili dhalilika,nikadharaulika, nikasemwa,nikasemekana,
kunawakati niliambiwa maneno nawatu walio kuwa karibu na jamaa zangu kwamba jamaa zako wali kuzungumzia hivi na vile skuamini.
Nilishangaa hata frani? Ni wa kunizungumzia hivi?
Nilipiga magoti kwa mungu wangu huku nikiwa nime patwa na hasira na uchungu mkubwa na hisia za kuhisi nime salitiwa na watu nilio waamini
naweza kusema ulikuwa niwakati ambao ningefanya vitu ambayo havikufaa kufanyika mbele ya jamii inayo nizunguka kwani daima hasira hazijengi Basi Moyo wangu uliniambia kaa kimya hakika nilikaa kimya.
Nili endelea kukaakimya huku nikiendelea kuyatatua magumu Yale yaliyo kuwa yanani kabiri nikiwa peke yangu kwenye mazingira magumu ambayo hayakuwa rahisi kuya vumilia.
Kwani wale nilio wategemea kuwa upande wangu woote walini kataa badara ya kunisaidia wakawa nikikwazo kwa wale wenye Nia ya kutaka kunisaidia juu ya magumu yangu
Naweza kusema badara ya kunisaidia kazi yao kubwa ilikuwa nikuwazuia wale waliotaka kunisaidia wasini saidie
Sjui kwanini? Sjui nili wakosea nini? Na sijui niliwai kuwafanyia ubaya gani hakika sjui.
Nakumbuka kunammoja alijaribu kusema hivi baada ya kumpigia na kumwomba msaada...
Ndugu yangu hayo matatizo pambana nayo mwenyewe ""
nikamkatisha kwa kusema sijakupigia ili unitoe kwenye level hii na kunifikisha kwenye level ile Ila nimekupigia Kama ndugu yangu Tena binamu yangu uende sehemu frani na kwamtu frani akupe kiasi frani uniletee hapa nitajua ntatokaje hapa
akaenda akaleta Kisha akatamka maneno haya huku akiogopa kuniangalia machoni akipotezea kwa kuangalia huku na Kyle akasema.
Killing wewe Ni ndugu yangu najua Ila Hii kesi mtu pekee wa kui solve niwewe mwenyewe shika kiasi chako hichi akaendelea kuongea maneno mengi huku akinipa kile kiasi..
Akani kabidhi kwa Siri kile kiasi na kuondoka zake
Nika mshukuru huku hakiri yangu ikiniambia inatosha kwa hiki alicho kifanya/kusaidia
Mungu mwema nilipigana nikapambana nakadri nilivyo kata tamaa nikapata tumaini jipya/hakiri mpya
mwisho wa siku Nikawa free""
wakuu sjawai kuamini kuhusu kitu kinacho itwa karma
Yule mtu ambaye ndiye chanzo Cha tatizo au kuharibikiwa kwangu anaishi maisha magumu baraa
Wale wote ambao alishilikiana nao kunifikisha pale kwenye Hari ile wote choka mbaya
Yule binamu kapata tatizo Ana daiwa pesa ndefu alikuja hapa mjini kwangu akafikia hoterini pesa ikamwishia akanitafuta nikakutana nae hatimaye leo yupo kwangu
na kwasababu hakuja na nguo Wala begi Basi tunaenda wote dukani namnunulia nguo nampa pesa ya matumizi asije hisi na mnyanyasa
natangulia home kwani Mimi sio mpenzi wa night crubs/ bar either grocery akinywa anarudi nyumbani
Moaka Sasa nimemyaftia kazi ataanza jumatatu na kwenye Deni lake nime mlipia nusu ya Deni lake huku kwake au kwa mke wake anatuma pesa ya matumizi kupitia mgongo wangu
Kiukweli Sina kinyongo nae hata kidogo lakini kilicho nifanya Nika post Hii kitu Ni baada ya yeye kutamka maneno haya...
Ndugu yangu killing sikutegemea Kama wewe leo ungekuwa msaada wangu,sikutegemea Kama leo ungenisaidia kiasi hiki, hasa nikifikiria jinsi nilivyo kutosa kwenye tatizo lako kipindi Cha nyuma,
Nilikutamkia maneno mengi ambayo haya kuku faa kwa kipindi kile kigumu
lakini hauku wai kunijibu, ulikaa kimya daima na ulipambana ukayashinda
Akaendelea kusema...
Kinacho niuma zaidi nikwanini wewe tuu nilikukosea na niwewe tuu unanisaidia kwanini sio wale nilio kuwa nakunywa nao naishi nao?
Nika tabasam.
nikamtazama.
nika mwambia...
ukimya nizaidi ya jibu..
na kunakitu kinaitwa karma unakijua? Akanijibu hapana
Nikamwambia karibu jf