Nguvu ya kielimu kwa makabila kama wahaya waliyotumia kujazana maofisini inapungua, Wakiendelea kutegemea ajira wamekwisha !! wajipanue kibiashara

NetMaster

JF-Expert Member
Sep 12, 2022
1,454
4,853
NB: Wachaga wameelimika ila niwaweke pembeni hawa hawategemei ajira pekee.

Tofauti na zamani tulivyozoea makabila yaliyoelimika na kutegemea ajira kwa asilimia kubwa kama wahaya kujazana maofisini kwa vyeti vyao, kwa sasa hali ni tofauti kabisa..

Zamani elimu ilikuwa inapatikana kwa uchache sana na ilikuwa ni ngumu maana vitu kama material za kujisomea zilikuwa taabu kuzipata, shule zilikuwa chache, n.k

Kwa sasa hali imebadilika, shule zimesambaa zipo nyingi sana, tuishen zipo kibao, vitabu vya maswali na majibu vya pastpaper vipo, vyuo kibao, ni kawaida siku hizi shule haina division 4 wala 0.

Kwa sasa wenye vigezo vya kwenda maofisini ni karibu kila kabila tena kwa wingi, hali

Mfano ukienda hata vyuoni, zamani walikuwa wamejaa walimu wa kihaya kibao lakini leo hii utawakuta walimu wa makabila ambayo hata hatukuwai dhania.

Mbaya zaidi licha ya huu uhalisia naona wahaya wanazidi kukazia kusubiri ajira wengi wao kwenye biashara wanaishia kufanya ndogo ndogo tena hapo bado anawaza ajira, mtafika kweli ??

Kwa sasa biashara ndio jibu, Wachaga pamoja na kuelimika lakini biashara zinawaokoa sana na zimewaweka kuwa kabila lenye maendeleo makubwa hata bila ya kutegemea vyeo vya maofisini,,, ukija makabila mengine kama wakinga nao wengi hawajaelimika lakini biashara zimewapa maendeleo ,,,,, kwa hali hii wahaya hamstuki ???
 
NB: Wachaga wameelimika ila niwaweke pembeni hawa hawategemei ajira pekee.

Tofauti na zamani tulivyozoea makabila yaliyoelimika na kutegemea ajira kwa asilimia kubwa kama wahaya kujazana maofisini kwa vyeti vyao, kwa sasa hali ni tofauti kabisa..

Zamani elimu ilikuwa inapatikana kwa uchache sana na ilikuwa ni ngumu maana vitu kama material za kujisomea zilikuwa taabu kuzipata, shule zilikuwa chache, n.k

Kwa sasa hali imebadilika, shule zimesambaa zipo nyingi sana, tuishen zipo kibao, vitabu vya maswali na majibu vya pastpaper vipo, vyuo kibao, ni kawaida siku hizi shule haina division 4 wala 0.

Kwa sasa wenye vigezo vya kwenda maofisini ni karibu kila kabila tena kwa wingi, hali

Mfano ukienda hata vyuoni, zamani walikuwa wamejaa walimu wa kihaya kibao lakini leo hii utawakuta walimu wa makabila ambayo hata hatukuwai dhania.

Mbaya zaidi licha ya huu uhalisia naona wahaya wanazidi kukazia kusubiri ajira wengi wao kwenye biashara wanaishia kufanya ndogo ndogo tena hapo bado anawaza ajira, mtafika kweli ??

Kwa sasa biashara ndio jibu, Wachaga pamoja na kuelimika lakini biashara zinawaokoa sana na zimewaweka kuwa kabila lenye maendeleo makubwa hata bila ya kutegemea vyeo vya maofisini,,, ukija makabila mengine kama wakinga nao wengi hawajaelimika lakini biashara zimewapa maendeleo ,,,,, kwa hali hii wahaya hamstuki ???
Siyo kila mmoja anaweza kuwa genius...nadhani umenielewa
 
Siyo kila mmoja anaweza kuwa genius...nadhani umenielewa
Kuna akili za darasani za kujifunza na akili ya maisha kuyajua maisha.

Ni heri ukose elimu ya darasani uwe na akili

Huyo genius wa darasani ukiondoa elimu anaweza kufanya kitu gani??

Kwa mchaga hata ukiondoa elimu atafanya biashara ama kupata ujuzi aingize pesa... Kwa mhaya ukitoa elimu ana njia ipi kupiga pesa ??

Nimeishi sehemu wahaya wapo wameelimika vizuri tu lakini kwa kukosa ajira mpaka wanatia huruma, mkombozi wanaemsubiri kuyabadili maisha ni ajira, kucheza na mazingira kutafuta fursa hawajui.. ndio nikajua kuna utofauti wa akili za darasani za kusomea na akili za maisha kutafuta fursa.
 
NB: Wachaga wameelimika ila niwaweke pembeni hawa hawategemei ajira pekee.

Tofauti na zamani tulivyozoea makabila yaliyoelimika na kutegemea ajira kwa asilimia kubwa kama wahaya kujazana maofisini kwa vyeti vyao, kwa sasa hali ni tofauti kabisa..

Zamani elimu ilikuwa inapatikana kwa uchache sana na ilikuwa ni ngumu maana vitu kama material za kujisomea zilikuwa taabu kuzipata, shule zilikuwa chache, n.k

Kwa sasa hali imebadilika, shule zimesambaa zipo nyingi sana, tuishen zipo kibao, vitabu vya maswali na majibu vya pastpaper vipo, vyuo kibao, ni kawaida siku hizi shule haina division 4 wala 0.

Kwa sasa wenye vigezo vya kwenda maofisini ni karibu kila kabila tena kwa wingi, hali

Mfano ukienda hata vyuoni, zamani walikuwa wamejaa walimu wa kihaya kibao lakini leo hii utawakuta walimu wa makabila ambayo hata hatukuwai dhania.

Mbaya zaidi licha ya huu uhalisia naona wahaya wanazidi kukazia kusubiri ajira wengi wao kwenye biashara wanaishia kufanya ndogo ndogo tena hapo bado anawaza ajira, mtafika kweli ??

Kwa sasa biashara ndio jibu, Wachaga pamoja na kuelimika lakini biashara zinawaokoa sana na zimewaweka kuwa kabila lenye maendeleo makubwa hata bila ya kutegemea vyeo vya maofisini,,, ukija makabila mengine kama wakinga nao wengi hawajaelimika lakini biashara zimewapa maendeleo ,,,,, kwa hali hii wahaya hamstuki ???
Sawa wamekusikia..watalifanyia kazi.

#MaendeleoHayanaChama
 
NB: Wachaga wameelimika ila niwaweke pembeni hawa hawategemei ajira pekee.

Tofauti na zamani tulivyozoea makabila yaliyoelimika na kutegemea ajira kwa asilimia kubwa kama wahaya kujazana maofisini kwa vyeti vyao, kwa sasa hali ni tofauti kabisa..

Zamani elimu ilikuwa inapatikana kwa uchache sana na ilikuwa ni ngumu maana vitu kama material za kujisomea zilikuwa taabu kuzipata, shule zilikuwa chache, n.k

Kwa sasa hali imebadilika, shule zimesambaa zipo nyingi sana, tuishen zipo kibao, vitabu vya maswali na majibu vya pastpaper vipo, vyuo kibao, ni kawaida siku hizi shule haina division 4 wala 0.

Kwa sasa wenye vigezo vya kwenda maofisini ni karibu kila kabila tena kwa wingi, hali

Mfano ukienda hata vyuoni, zamani walikuwa wamejaa walimu wa kihaya kibao lakini leo hii utawakuta walimu wa makabila ambayo hata hatukuwai dhania.

Mbaya zaidi licha ya huu uhalisia naona wahaya wanazidi kukazia kusubiri ajira wengi wao kwenye biashara wanaishia kufanya ndogo ndogo tena hapo bado anawaza ajira, mtafika kweli ??

Kwa sasa biashara ndio jibu, Wachaga pamoja na kuelimika lakini biashara zinawaokoa sana na zimewaweka kuwa kabila lenye maendeleo makubwa hata bila ya kutegemea vyeo vya maofisini,,, ukija makabila mengine kama wakinga nao wengi hawajaelimika lakini biashara zimewapa maendeleo ,,,,, kwa hali hii wahaya hamstuki ???
Mhhhhh huwajuhi wahaya wewe,aliyetangulia katangulia,kama walikuwa wa kwanza kwenye ajira na Elimu,ujue hata kwenye biashara wapo mbele tu,unafikiri pesa za kuwa wa kwanza kwenye ajira,zilipelekwa wapi?hv unajua daladala nyingi,biashara kubwa hapa mjini,zinamilikiwa na hao unaosema wapo kwenye "ajira"?
Nenda Tigo,voda,airtel,migodini,hakuna taasisi isiyo na shomile,au Chaga hapa nchini,may be muziki wa singeli tu
 
NB: Wachaga wameelimika ila niwaweke pembeni hawa hawategemei ajira pekee.

Tofauti na zamani tulivyozoea makabila yaliyoelimika na kutegemea ajira kwa asilimia kubwa kama wahaya kujazana maofisini kwa vyeti vyao, kwa sasa hali ni tofauti kabisa..

Zamani elimu ilikuwa inapatikana kwa uchache sana na ilikuwa ni ngumu maana vitu kama material za kujisomea zilikuwa taabu kuzipata, shule zilikuwa chache, n.k

Kwa sasa hali imebadilika, shule zimesambaa zipo nyingi sana, tuishen zipo kibao, vitabu vya maswali na majibu vya pastpaper vipo, vyuo kibao, ni kawaida siku hizi shule haina division 4 wala 0.

Kwa sasa wenye vigezo vya kwenda maofisini ni karibu kila kabila tena kwa wingi, hali

Mfano ukienda hata vyuoni, zamani walikuwa wamejaa walimu wa kihaya kibao lakini leo hii utawakuta walimu wa makabila ambayo hata hatukuwai dhania.

Mbaya zaidi licha ya huu uhalisia naona wahaya wanazidi kukazia kusubiri ajira wengi wao kwenye biashara wanaishia kufanya ndogo ndogo tena hapo bado anawaza ajira, mtafika kweli ??

Kwa sasa biashara ndio jibu, Wachaga pamoja na kuelimika lakini biashara zinawaokoa sana na zimewaweka kuwa kabila lenye maendeleo makubwa hata bila ya kutegemea vyeo vya maofisini,,, ukija makabila mengine kama wakinga nao wengi hawajaelimika lakini biashara zimewapa maendeleo ,,,,, kwa hali hii wahaya hamstuki ???
"Wajipanue kibiashara" mkuu mbona umetumia lugha kali sana? Nimebaki tu kushangaa.
 
Mhhhhh huwajuhi wahaya wewe,aliyetangulia katangulia,kama walikuwa wa kwanza kwenye ajira na Elimu,ujue hata kwenye biashara wapo mbele tu,unafikiri pesa za kuwa wa kwanza kwenye ajira,zilipelekwa wapi?hv unajua daladala nyingi,biashara kubwa hapa mjini,zinamilikiwa na hao unaosema wapo kwenye "ajira"?
Nenda Tigo,voda,airtel,migodini,hakuna taasisi isiyo na shomile,au Chaga hapa nchini,may be muziki wa singeli tu
Tatizo unaongea kishabiki na inaonekana wazi hata wewe ni mhaya kwa jinsi ulivyotiririka, ni kama shabiki wa simba kuitetea simba ni ngumu kuzungumzia udhaifu wa team

Aliyetangulia ataendelea kutangulia kama hataridhika, mfano wachaga kama mengi walielimika na kusomeshwa hadi nje lakini wakapiga chini ajira wakaingia kwenye biashara kwenye pesa zaidi, ukija kwa makabila mengine nayo kuna huyu kijana vunja bei kaelimika amewahi kuajiriwa lakini akaacha ajira na sasa ni mfanyabiashara.... mhaya akiajiriwa imeisha hio 😂😂 atakwambia anachotaka ni mshahara wa uhakika mpaka anastaafu, kwake risks za biashara kama hasara hataki kusikia.

Mambo yamebadilika siku hizi, zamani shirika lilikuwa linasimamia ajira kwahio shirika likiwa na miurugenzi flani anajaza wenzake, hapa ukikuta shirika kuna mkurugenzi mhaya zamani walikuwa wanawekana, siku hizi haya mambo yanasimamiwa na wizara ya utumishi ambao nao huenda wanajazana watu wao,
 
Mambo mengi yanayoongelewa kuhusu wahaya ni ya kufikirika na hayajafanyiwa utafiti na waongeaji.

Kuna wakati wahaya walipoona wanabaguliwa, walibadili majina ili kuficha identity zao. Sina uhakika kama hilo waliacha.

Wachaga (na makabila mengine ya Kilimanjaro na Arusha) wamejaa kwenye ajira na vyuoni huko na wanabebana kweli kweli ingawa kwa mtazamo wangu kwa akili ya darasani, hawana maajabu yoyote na hili sisemi kama dharau kwao.
 
Mhhhhh huwajuhi wahaya wewe,aliyetangulia katangulia,kama walikuwa wa kwanza kwenye ajira na Elimu,ujue hata kwenye biashara wapo mbele tu,unafikiri pesa za kuwa wa kwanza kwenye ajira,zilipelekwa wapi?hv unajua daladala nyingi,biashara kubwa hapa mjini,zinamilikiwa na hao unaosema wapo kwenye "ajira"?
Nenda Tigo,voda,airtel,migodini,hakuna taasisi isiyo na shomile,au Chaga hapa nchini,may be muziki wa singeli tu
Sasa rigo na Airtel ni biashara za wahaya.??
kagera ni mkoa wa chini toka mkiani kuwa hohe hahe
 
Wachaga ni watu smart sana,wao ni Elimu na biashara,mhaya kakalia Elimu tu huku umaskini ukimtafuna
1697130217506.jpg
 
Kuna akili za darasani za kujifunza na akili ya maisha kuyajua maisha.

Ni heri ukose elimu ya darasani uwe na akili

Huyo genius wa darasani ukiondoa elimu anaweza kufanya kitu gani??

Kwa mchaga hata ukiondoa elimu atafanya biashara ama kupata ujuzi aingize pesa... Kwa mhaya ukitoa elimu ana njia ipi kupiga pesa ??

Nimeishi sehemu wahaya wapo wameelimika vizuri tu lakini kwa kukosa ajira mpaka wanatia huruma, mkombozi wanaemsubiri kuyabadili maisha ni ajira, kucheza na mazingira kutafuta fursa hawajui.. ndio nikajua kuna utofauti wa akili za darasani za kusomea na akili za maisha kutafuta fursa.
Exactly,HII ndiyo sábabu Tanzania nzima Kila eneo utamkuta mchaga ndanindani huko anazitafuta pesa
 
Kuna akili za darasani za kujifunza na akili ya maisha kuyajua maisha.

Ni heri ukose elimu ya darasani uwe na akili

Huyo genius wa darasani ukiondoa elimu anaweza kufanya kitu gani??

Kwa mchaga hata ukiondoa elimu atafanya biashara ama kupata ujuzi aingize pesa... Kwa mhaya ukitoa elimu ana njia ipi kupiga pesa ??

Nimeishi sehemu wahaya wapo wameelimika vizuri tu lakini kwa kukosa ajira mpaka wanatia huruma, mkombozi wanaemsubiri kuyabadili maisha ni ajira, kucheza na mazingira kutafuta fursa hawajui.. ndio nikajua kuna utofauti wa akili za darasani za kusomea na akili za maisha kutafuta fursa.
Exactly,HII ndiyo sábabu Tanzania nzima Kila eneo utamkuta mchaga ndanindani huko anazitafuta pesa
 
Mambo mengi yanayoongelewa kuhusu wahaya ni ya kufikirika na hayajafanyiwa utafiti na waongeaji.

Kuna wakati wahaya walipoona wanabaguliwa, walibadili majina ili kuficha identity zao. Sina uhakika kama hilo waliacha.

Wachaga (na makabila mengine ya Kilimanjaro na Arusha) wamejaa kwenye ajira na vyuoni huko na wanabebana kweli kweli ingawa kwa mtazamo wangu kwa akili ya darasani, hawana maajabu yoyote na hili sisemi kama dharau kwao.
Unasumbuliwa na Chuki
Wachaga wapo Smart darasani na hâta nje ya darasa nakupa facts chache
1- Kozi ngumu ngumu Wachaga wamezi handle mfano neurosurgery nchi nzima ina specialists 9 tu 5 among them ni Chagas tena wanawake.
2-kozi nyeti kama uhasibu, banking sidhani kama Kuna wanaowafikia
3- Kozi za afya in general wame dominate nenda Muhas uone
4- Kozi za kimkakati kama maliasili na utalii, engineering NK wamezisoma haswa na wapo kwa wingi katika industry Hizo, sio ajabu bodi ya wahandisi Tanzania Karibu Kampuni za kizawa za wahandisi almost 60+% ya Kampuni ni za Wachaga
5- katika biashara hiyo Haina mjadala kwa wazawa hakuna WA kuwafikia Wachaga
6-mchaga ambaye hâta hajaenda shule Ana ujuzi MKUBWA WA ujasiriamali na kuingiza kipato,mfano MTU anamiliki mgahawa WA supu lakini anasomesha watoto,ana nÿumba nzuri,ana other assets NK
7-kilimamjaro ni mkoa WA 3 kwa watu wake kuwa na pato kubwa
8-mkoa WA Kilimanjaro ni mkoa WA kwanza kuwa na shule nyingi za sekondar,huku Moshi DC ikiongoza kwa shule nyingi za msingi kitaifa.
9-kampuni za mabasi Tanzania Karibu 40% zinamilikiwa na watu kutoka Kilimanjaro bila kusahau précision air
 
Unasumbuliwa na Chuki
Wachaga wapo Smart darasani na hâta nje ya darasa nakupa facts chache
1- Kozi ngumu ngumu Wachaga wamezi handle mfano neurosurgery nchi nzima ina specialists 9 tu 5 among them ni Chagas tena wanawake.
2-kozi nyeti kama uhasibu, banking sidhani kama Kuna wanaowafikia
3- Kozi za afya in general wame dominate nenda Muhas uone
4- Kozi za kimkakati kama maliasili na utalii, engineering NK wamezisoma haswa na wapo kwa wingi katika industry Hizo, sio ajabu bodi ya wahandisi Tanzania Karibu Kampuni za kizawa za wahandisi almost 60+% ya Kampuni ni za Wachaga
5- katika biashara hiyo Haina mjadala kwa wazawa hakuna WA kuwafikia Wachaga
6-mchaga ambaye hâta hajaenda shule Ana ujuzi MKUBWA WA ujasiriamali na kuingiza kipato,mfano MTU anamiliki mgahawa WA supu lakini anasomesha watoto,ana nÿumba nzuri,ana other assets NK
7-kilimamjaro ni mkoa WA 3 kwa watu wake kuwa na pato kubwa
8-mkoa WA Kilimanjaro ni mkoa WA kwanza kuwa na shule nyingi za sekondar,huku Moshi DC ikiongoza kwa shule nyingi za msingi kitaifa.
9-kampuni za mabasi Tanzania Karibu 40% zinamilikiwa na watu kutoka Kilimanjaro bila kusahau précision air
Wachaga wako smart sana tuwape maua yao.

Shida yao tu wamekosa kitu kimoja.
Kiukweli Mungu hakupi vyote na hakunyimi vyote.
Mapenzi hawajui
 
Back
Top Bottom