Scorpio Me
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 6,120
- 7,912
Habari zenu jamani....
Mwenzenu nikifua nguo yani hata hazikolei sabuni...hata nikifua lile povu la pili inakua bado haikolei vizur kiasi cha povu kutoka yani...
NB:- Huwa navaa nguo mara moja
-Huwa nafulia sabun ya unga(omo au aerial).....
-Huwa naweka sabuni nying tu ya kutosha...
Msaada jamani kwa anaejua sababu ni nini na nifanye nini...
Mwenzenu nikifua nguo yani hata hazikolei sabuni...hata nikifua lile povu la pili inakua bado haikolei vizur kiasi cha povu kutoka yani...
NB:- Huwa navaa nguo mara moja
-Huwa nafulia sabun ya unga(omo au aerial).....
-Huwa naweka sabuni nying tu ya kutosha...
Msaada jamani kwa anaejua sababu ni nini na nifanye nini...