Nguo zangu hazikolei sabuni

Scorpio Me

JF-Expert Member
Aug 2, 2016
6,120
7,912
Habari zenu jamani....
Mwenzenu nikifua nguo yani hata hazikolei sabuni...hata nikifua lile povu la pili inakua bado haikolei vizur kiasi cha povu kutoka yani...
NB:- Huwa navaa nguo mara moja
-Huwa nafulia sabun ya unga(omo au aerial).....
-Huwa naweka sabuni nying tu ya kutosha...
Msaada jamani kwa anaejua sababu ni nini na nifanye nini...
 
Maji gani unafulia? Ya chumvi au fresh water?? Upo mkoa gani?
 
Habari zenu jamani....
Mwenzenu nikifua nguo yani hata hazikolei sabuni...hata nikifua lile povu la pili inakua bado haikolei vizur kiasi cha povu kutoka yani...
NB:- Huwa navaa nguo mara moja
-Huwa nafulia sabun ya unga(omo au aerial).....
-Huwa naweka sabuni nying tu ya kutosha...
Msaada jamani kwa anaejua sababu ni nini na nifanye nini...

Huwa unasoma maelekezo kwenye lebo [za nguo] jinsi/ namna ya kusafisha?
 
Huwa unasoma maelekezo kwenye lebo [za nguo] jinsi/ namna ya kusafisha?
Hapana huwa sisomi...lets say zingne haziruhusu kufuliwa kwa mkono ila jaman ndo nguo zoteeee ninazonunua mm ziwe na mushkeli...BTW zingne hazina label e.g khanga...
 
Habari zenu jamani....
Mwenzenu nikifua nguo yani hata hazikolei sabuni...hata nikifua lile povu la pili inakua bado haikolei vizur kiasi cha povu kutoka yani...
NB:- Huwa navaa nguo mara moja
-Huwa nafulia sabun ya unga(omo au aerial).....
-Huwa naweka sabuni nying tu ya kutosha...
Msaada jamani kwa anaejua sababu ni nini na nifanye nini...
Umeshawahi kuchepuka hivi karibuni??
 
Back
Top Bottom